Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka wenye akili kubwa wawe kama mikondoo ya lumumba?Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Alikuwa frustrated Sana Leo. Nadhani ameumia Sana kuwakosa.Hata huku makazini tuliko utaona kabisa kijana mchapa kazi, shupavu tusio na maringo. Weledi.
Ukiuliza vizuri utaambiwa yule jamaa ni CHADEMA.
Niliwahi kuandika humu kuwa hata Ukisikia Wakili au Mwanasheria Mbabe na Kichwa kikali basi hutakuta mahali pengine bali ni CHADEMA.
Hotuba ya Mh Rais Samia imedhihirisha kuwa kikao cha leo cha baraza la vyama vya siasa na wadau wa demokrasi hakihitaji Zitto, Lipumba wala Chongola na Chalamila bali kilihitaji Watu wazito wenye weledi na hoja kuntu kama Mh Mbowe na Mh Tundu Lissu.
Sikiliza Hotuba ya Rais Samia utaona Njaa ya kuijosa CHADEMA kwenye jambo lao.
Yule msajili alipanga kupotosha ili amfurahishe muajiri wake. Kumbe muajiri roho inamuuma hadi kashindwa kuvumilia.Mbona Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa alisema, mbele ya Mhe. Rais, kuwa vyama vyote 19 vimehudhuria mkutanoni? Katika 19 si na CHADEMA ipo? Imekuwaje tena?
Hata Mimi nilishangaa Sana. Angejikita kwenye Hali ya siasa nchini, mchakato wa katiba bila kuhusisha harakati za CHADEMA. Kila kitu akiongea ana refer CHADEMA.Rais wetu aangalie Sana washauri wake ..hawampi taarifa Sahihi…..,kama chadema peke yake ndio hawajaja yeye asingehangaika nao Bali angetoa hotuba tu ..
Inatoa picha gani kwa wale ambao wamefika pale ?? Ina maana CDM ni bora zaidi ..
Ni mamako tu hajafikia kiwango cha kuongoza. Binti kuwa na nidhamu kwa kiongozi wa nchi. Usidhani uko salama sana.Mwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anhutubu kwenye kitchen party
Kweli kabisa. Ukiwa mtu wa misimamo na kujitegemea bila uchawa, wanadai wewe CHADEMAHata huku makazini tuliko utaona kabisa kijana mchapa kazi, shupavu tusio na maringo. Weledi.
Ukiuliza vizuri utaambiwa yule jamaa ni CHADEMA.
Niliwahi kuandika humu kuwa hata Ukisikia Wakili au Mwanasheria Mbabe na Kichwa kikali basi hutakuta mahali pengine bali ni CHADEMA.
Hotuba ya Mh Rais Samia imedhihirisha kuwa kikao cha leo cha baraza la vyama vya siasa na wadau wa demokrasi hakihitaji Zitto, Lipumba wala Chongola na Chalamila bali kilihitaji Watu wazito wenye weledi na hoja kuntu kama Mh Mbowe na Mh Tundu Lissu.
Sikiliza Hotuba ya Rais Samia utaona Njaa ya kuijosa CHADEMA kwenye jambo lao.
Chadema akili kubwa. Bila Chadema hakuna vyama vingi Tanzania.Hata Mimi nilishangaa Sana. Angejikita kwenye Hali ya siasa nchini, mchakato wa katiba bila kuhusisha harakati za CHADEMA. Kila kitu akiongea ana refer CHADEMA.
Mtishe mmeo mimi sitishiki, muulize Magufuli na ubabe wake aliishia wapiNi mamako tu hajafikia kiwango cha kuongoza. Binti kuwa na nidhamu kwa kiongozi wa nchi. Usidhani uko salama sana.
Ameumia Sana kuwakosa kwenye mkutano
Ndio maana hawajashiriki maana hakuna faidaBinafsi sioni faida ya Chadema kushiriki au kutoshiriki
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mgongo wa CCM kula hela za wazungu kuhusu siasa ni Chadema. Lazima wakasirike.Pengine walitaka pesa ya kuvutia dollars EU na WB na moja ya masharti ni “democracy” , wamekosa picture opportunity ….Sijaona mantiki kabisa ya Rais kukasirika na kuumia hadi kigugumizi wakati kina Cheyo walikuwa pale ….
Kaingia chakaNadhani walimshauri aseme vile,.
Hata mimi nilisikia hivyoMbona Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa alisema, mbele ya Mhe. Rais, kuwa vyama vyote 19 vimehudhuria mkutanoni? Katika 19 si na CHADEMA ipo? Imekuwaje tena?
Marekani na ukubwa wao wote hawajathubutu kufanya huu upuuziMwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anhutubu kwenye kitchen party
Pia alikosa hekima, angeziua kimya kimya bila mabalozi kujua. Sasa yeye kaanza kuropoka mara Hawa hawajaja, kwao pamoto etc.Pengine walitaka pesa ya kuvutia dollars EU na WB na moja ya masharti ni “democracy” , wamekosa picture opportunity ….Sijaona mantiki kabisa ya Rais kukasirika na kuumia hadi kigugumizi wakati kina Cheyo walikuwa pale ….