Anzisha cha kwako tuone utafika wapi. Chadema inainyama CCM usingizi alafu unakuja na misaafu yako ya kukaririshwa. Hivyo vyama vingine mchawi wao ni nani kama ilivyo kwa Chadema?Chadema lazima watambue kwamba mchawi wao ni mbowe,amegeuza Hiko Chama kuwa ni chama Cha ukoo
Ndo muelewe kwa nini yuko kimya kwenye mambo nyeti .hawezi kujenga hoja huyo chief Hangaya.Mwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anhutubu kwenye kitchen party
ππππNi kama TEC Wakosekane kwenye kikao cha viongozi wa dini. Hicho siyo kikao ni Tamasha
HakikaNi kama TEC Wakosekane kwenye kikao cha viongozi wa dini. Hicho siyo kikao ni Tamasha
Kanisa Moja Takatifu la Mitume πNi kama TEC Wakosekane kwenye kikao cha viongozi wa dini. Hicho siyo kikao ni Tamasha
Ndo maana tunasema raisi anapaswa kuwa na kifua kwa maana ya kuwa na biashara.Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Wanazungumziwa Chama Tikisa siyo MidebwedoππΌzitto c amehudhuria kunashida kwani
maadili yameporomoka sana hukoNaona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Mama hataki akina Zitto wala akina Lipumba anataka vyuma akina Mbowe na akina Lissuzitto c amehudhuria kunashida kwani
Chadema inaharibiwa na vichaa wachache mle, mfanoNaona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Alidanganya,vyanzo vya rais vikamwambia Chadema hawana mwakilishi,kalaani ile mbayaMbona Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa alisema, mbele ya Mhe. Rais, kuwa vyama vyote 19 vimehudhuria mkutanoni? Katika 19 si na CHADEMA ipo? Imekuwaje tena?
ahahaa ili avute mkwanja ughaibuni chadema wanamnyima mama ulaji nimemwona kakasirika leo hao jamaa kukosekanaMama hataki akina Zitto wala akina Lipumba anataka vyuma akina Mbowe na akina Lissu
Mzee wakubadili upepo!Magufuli hakuwa mjinga kutoiamini Chadema
Chadema ni Chama Cha Mabwanyenye wengine wako huko huko CCM πππ₯π
Amenishangaza Sana. Anadai hata kutokuja kwenye mkutano wa Leo wamegawanyika , wale wanaotaka na wale wasiotaka. Huko kwao kwa moto. Amejuaje?Eti huko kwao kuna waka moto?? Sasa mbona hayahusiani?
Tuliwambia Bila Chadema hakuna tangible discusion hapo.
Mama mwenyewe anajua vikao bila vichwa vya Chadema ni sawa na vikao vya harusi tu.
Mkuu haiwezekani.Tatizo kaonesha emotions zake. Yeye angechukulia kawaida. Na kujikita kwenye lengo kuu la Leo.
Ni maneno tu ya mkosajiπππAmenishangaza Sana. Anadai hata kutokuja kwenye mkutano wa Leo wamegawanyika , wale wanaotaka na wale wasiotaka. Huko kwao kwa moto. Amejuaje?