Mkuu ebu tuwekee kamfano angalau basi hata kama haka...i will put you inside...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Na zeeee rekiiiiiKaisiliba kinyesi wizara ni heri angeongea tu Kiswahili lakini sio kwa broken zile na zile eeh.. Eeh, eeh zilizokabiria 60
Wako wengi sana lugha haipandi ila sema wengine ni wajanja sana wanapiga kimya tu ili mradi siku hazigandi huku mshahara ukisoma kila mwezi.Ni aibu sana kwa nchi. Ndalichako anaidhalilisha nchi na wizara ya elimu. Anaudhalilisha hata huo uprofesa wake.Hovyooo kabisa.
Alikuwa anatokwa na jasho mpaka kwenye meno[emoji23]"Political will" na gap fillers zilikuwa kama 100 hivi [emoji3]
Daaaaa mbona umeidharau sana hiyo wizara?Bora amhamishie ile wizara mpya ya jinsia na watoto
Ingekuwa zamani angefaidi bulgaBora awe mwalimu mkuu wa shule ya vidudu.
Tena ni profeeesaaaaYaani ile speech ya waziri....eish huwezi amini ndugu mtazamaji, kama huyo ndo waziri wa Elimu Tz....... kaazi kwelikweli.
UNayemchukia ni Rais huyu mama anatekeleza maazimio ya Baraza mMimi nikiri kabisa kuwa hakuna waziri ninaemchukia kama huyu mama. Sina chuki personal ila nauchukia mfumo wa elimu Tanzania na naona kabisa kikwazo cha kwanza ni huyu waziri.
Yani huyu ni zero brain kabisa ilifaa awe anavua migebuka ziwani huko.
Hapo sasa andiko la kuupata huo uprof alitumia lugha ganiTena ni profeeesaaaa
Mh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Kweli Prof kwa kweli ile ni aibu sana lakini labda ni light tu ila hmmmm mbona ameitumia zaidi miaka 45 tangu form 1 hadi leo ???Mh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Kumbe Naye ni Engineer Soma hiyooooo Eeeh, umeongea kitu cha kijinga sanaMh rais samia hebu tengua uwaziri wa ndalichako anatia doa wizara ya elimu hivi vetting ya viongozi wa kitaifa huwa inaangalia vigezo vipi? Hivi ndalichako kama waziri anaenda shule kama za St marry pale mbeya ataongea nini kwa kimombo asishangaze wanafunzi? Mh rais uteuzi wako na mtangulizi wako kwa ndalichako unatia ukakasi. Ndalichako akiongea mbele ya shule za english medium watacheka mpaka wafe.
Kasemaje jamani naomba kavideo nicheke mie.Alikuwa anatokwa na jasho mpaka kwenye meno[emoji23]
We nae profesa anaanzaje kuambatana na translator? Unataka waanze kuhoji u profesa wake?Ndalichako's English is rounding off to the nearest mother tongue (kiha)
After all too much English without money is Vernacular,
Language is there to facilitate communication but if she is not well understood, better she use Swahili accompanied with translator,