Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Ingawa napenda sanaaaa kiingereza ilaaa kwa tz MTU akiongea kiingereza ndo anaonekana mweredi yaan tuna mawazo ya kizamani sanaaaaa...ndo maana mwl wa kiswahili anafanyishwa mtihani wa usaili kwa kiingereza ..........akija Putin au biden useme aongee kiswahili wengi hatutaleta hizi porojooo kuwa hana weredii

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Siyo kweli! Kwa sababu hakuna anayekulazimisha kuongea kiingereza lakini ukiamua kuongea kiingereza basi ongea kwa ufasaha kiasi, usiwe kituko kiasi unaabisha nchi!
 
Mara mia Dr Msukuma kuliko huyu PhD yake ni ukakasi alipataje, ana pure broken English
Kumbuka ana chupi huyu na Kuna wakati anaivua ili watu wapate burdani.
Kuna kitu nimekigundua. Walimu wa vyuo hawaangaliagi sura Wala chura. Wao wakiona mbudusu wanachanganyikiwa
 
Phd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....
Eboooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
PhD yake na fluency kwenye English havina uhusiano kabisa, huenda ikawa English kwake ilikua option tu kwa ajili ya Masomo

Acheni chuki, tatizo mliaminishwa ukijua kuongea kingereza ndio kuwa smart kichwani

Sema Prof akitoka hapo lazima akameze panadol[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi interview gani maza ameshawahi kuongea kuhojiww mwanzo mwisho?Sijawahi kuiona,naonaga anasoma tu kwny karatasi.Jiwe ngeli kwake ilikua baba mkwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti hyo ndo alikuwa ana sign vyeti vyetu vya secondary maisha haya na mwandiko m–baya kama mwanafunzi wa chekechea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ofcoz Pipo yuz to dai ini ze ini ze ini zerek[emoji23]...

We lost alot of life thus why Bifoo i derivaring my spech we have to show appreciation to our hero...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Kuasiliwa na lugha mama sio tatizo, huyu lugha anayozungumza ni mbovu kwa ukubwa wa elimu ukiangalia kuwa anaweza kuwa mwalimu sehemu yeyote dunia hususani nchi zinazotumia lugha ya malkia kufundishia
 
Back
Top Bottom