Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Hapa hatuongelei accent wewe. muwe mnajaribu kusoma kabla ya kurukia mada
Sasa kinachomuathiri hapo ni nini kama sio accent yake. Wewe ongea kimalkia na British accent tusikie, weka hata audio clip tukusikie manake kwa kuponda hamjambo nyie.
 
Kwenye science kuna terminologies siyo maneno ya kwenye kanga kama ya ungwinini, ndo maana ni vigumu sana kuwaelezea mangwini kama wewe scientific concepts kwa undani zaidi ya kuwapa juu juu tu kulingana na uelewa wenu mdogo....
Naweza kuthibitisha kuwa watu wengi wameshindwa kufuatilia masomo ya science kwa sababu walimu wao walikuwa wanashindwa kujieleza vizuri kwa kutumia kiingereza. Vinginevyo masomo ya science ni sawa na masomo mengine.
 
Kibongobongo wanaoweza kuongea fluent english huenda hawafiki hata 10, wengine ni kukandikija tu na kutafuta tafuta maneno.......ni ngumu kujenga misamiati ya kutosha kwenye lugha ambayo huitumii kwenye mawasiliano yako ya kila siku.
Ni conclusion isiyo na ukweli, wala haijafanyiwa research! Ukweli wana science wengi wanafahamu lugha vizuri kasoro wewe
 
Ni conclusion isiyo na ukweli, wala haijafanyiwa research! Ukweli wana science wengi wanafahamu lugha vizuri kasoro wewe
Acha contradiction, ukishakuwa scientist tayari lugha unaifahamu, hapa kinachoongelewa ni fluency, accent and ufasaha. Hata nchi za wazungu wenyewe wanaotumia kiingereza kama marekani, uingereza na australia wanachekana kama sisi tunavyowacheka wakenya kiswahili kibovu. Punguza ujuaji usio na msingi, huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya muingereza aliyepo london kama wabongo wengi na wanaojiita wasomi walivyo, fanya kazi tu ya kuponda wenzio nyuma ya keyboard lakini tukikuleta mbele itakuwa kituko.
 
Acha contradiction, ukishakuwa scientist tayari lugha unaifahamu, hapa kinachoongelewa ni fluency, accent and ufasaha. Hata nchi za wazungu wenyewe wanaotumia kiingereza kama marekani, uingereza na australia wanachekana kama sisi tunavyowacheka wakenya kiswahili kibovu. Punguza ujuaji usio na msingi, huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya muingereza aliyepo london kama wabongo wengi na wanaojiita wasomi walivyo, fanya kazi tu ya kuponda wenzio nyuma ya keyboard lakini tukikuleta mbele itakuwa kituko.
Hoja hapa siyo fluency wala accent bali ni broken english ya Ndalichako! Hata kiswahili hapa nchini anachoongea msukuma ni tofauti na mnyakyusa ingawa wanaongea lugha fasaha. Lakini akiongea mjaluo na mmasai utamwelewa lakini siyo kiswahili fasaha.

Kwa hiyo Ndalichako anaongea broken english na hastahili kutetewa kwa sababu ya science. Hata hivyo sina hakika kama Ndalichako ni scientist!
 
View attachment 2046608

Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Labda pichu ilitumika je?huwezi jua maana hata hawa wengine na wanayoyafanya utajiuliza maswari na hutopata majibu
 
Hoja hapa siyo fluency wala accent bali ni broken english ya Ndalichako! Hata kiswahili hapa nchini anachoongea msukuma ni tofauti na mnyakyusa ingawa wanaongea lugha fasaha. Lakini akiongea mjaluo na mmasai utamwelewa lakini siyo kiswahili fasaha.

Kwa hiyo Ndalichako anaongea broken english na hastahili kutetewa kwa sababu ya science. Hata hivyo sina hakika kama Ndalichako ni scientist!
Kuongea kiingereza kwa ufasaha na kutumia misamiati sahihi ni shida kubwa kwa wabongo na nyie mnaojiita wasomi, labda wale walioishi kwa muda ughaibuni hasa nchi zinazotuma kiingereza kama lugha rasmi ya mawasiliano ikiwemo marekani, UK na australia, kutojua lugha fulani kwa ufasaha siyo ujinga......kujenga ufasaha wa lugha ni jambo la kujifunza kila siku, sasa hili linakuwa gumu kwenye nchi ambayo hutumii hicho kiingereza kwenye mawasiliano ya kila siku mitaani na makazini. Kubali tu mkuu huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya mzungu aliyepo london, hiki cha hapa na pale ni cha kujifariji tu na huenda ukiongea mbele ya wenye lugha wasikuelewe........
 
Kuongea kiingereza kwa ufasaha na kutumia misamiati sahihi ni shida kubwa kwa wabongo na nyie mnaojiita wasomi, labda wale walioishi kwa muda ughaibuni hasa nchi zinazotuma kiingereza kama lugha rasmi ya mawasiliano ikiwemo marekani, UK na australia, kutojua lugha fulani kwa ufasaha siyo ujinga......kujenga ufasaha wa lugha ni jambo la kujifunza kila siku, sasa hili linakuwa gumu kwenye nchi ambayo hutumii hicho kiingereza kwenye mawasiliano ya kila siku mitaani na makazini. Kubali tu mkuu huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya mzungu aliyepo london, hiki cha hapa na pale ni cha kujifariji tu na huenda ukiongea mbele ya wenye lugha wasikuelewe........
Nadhani umenielewa vizuri!
 
Yeye ni Pro wa kiswahili, hana maajabu kwenye kiingilish
 
Msikilize bongozozo anavochapa kiswahili halafu fananisha na hizi aaah aah aah za huyu prof.
Ni kwamba tu huyu maza ile kusoma mahali pamoja ndo imefanya asijue kimalkia. Viongozi wengi waliosoma ughaibuni kimalkia wanakichapa.
Amesoma Marekani, pia fuatilia vizuri. Acha kujaji lugha isiyoyako
 
Amesoma Marekani, pia fuatilia vizuri. Acha kujaji lugha isiyoyako
Angeongea kiswahili pale si ndo lugha yake.
Yani taka usitake kujua kingereza ni muhimu mno ukiwa mtanzania.

Hizo propaganda za kujifariji za mwenda zake zinawaharibu sana. Vitabu vingi vya maarifa vimeandikwa kwa kingereza, mikutano na mahojiano ya kimataifa kama hiyo ya ndalichako ni mwendo wa kimombo tu, sasa ww usijue uumbuke kama uyo maza.
 
huyo mama mtamponda kwenye kiingereza, ila kwenye hisabati, narejea tena kwenye HISABATI mtakuja na ukoo wenu mzima kama sio mkoa wenu wote na bado hamtamgusa

huyo ni Genious acha kabisa
 
Phd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....
Duuh!! bongo wengi huishi kiujanja ujanja tu ilimradi mkate uende kinywani
 
Ingawa napenda sanaaaa kiingereza ilaaa kwa tz MTU akiongea kiingereza ndo anaonekana mweredi yaan tuna mawazo ya kizamani sanaaaaa...ndo maana mwl wa kiswahili anafanyishwa mtihani wa usaili kwa kiingereza ..........akija Putin au biden useme aongee kiswahili wengi hatutaleta hizi porojooo kuwa hana weredii

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom