Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

I don’t think and/or believe speaking good English (as the Brits do) as the measure of intelligence.... Why can’t we embrace our own languages?
Hao wenyewe wanaongea hiyo broken english, hawa "embrace" hiko Kiswahili.Ndio kwanza watoto wao wamewapeleka huko "english medium"
 
Kwa kimalkia anachoongea Prof., ni kwamba hata Baraza lililomtunukia u-profesa huyu Mama linaonekana ni la mchongo!
Anaweza akawa mzuri sana kwenye written English na akawa yuko Njema sana kwenye field yake hawa jamaa hua wanangalia mambo mengi sana kabla hujawa prof
 
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".

issue sio tongue, issue hapa mama hajui kuongea kienglish.... kama unajua kienglish tongue sio issue inavumilika tu...kama Nigerians, Indians, nk....

Pamoka na hayo mapungufu ya kienglish bado mama nafasi kubwa kwake, ni bora akarudishwa vyuoni huko kwenda kupiga lecture....
 
Waziri wa elimu bogus tu hawa ni wale wanao soma kwa kukariri. usiku kucha na ndoo za maji miguuni
 
inaleta shida kidogo kwa mtu wa level ya Profesa tena tunaambiwa amesoma Canada ambako lugha ya kufundishia ni kienglish halafu akawa hajui hiko kienglish...

Hili ni tusi kwa elimu yetu, maana tunaambiwa lugha ya kufundishia kuanzia secondary mpaka chuo kikuu ni Kienglish halafu wahusika hicho kienglish hawakijui, sasa huko shule waliwezaje kuelewa na kufauru mitihani kama sio usanii tu...

Hili suala la kienglish linapaswa kuangaliwa kwa jicho kali sana kwenye elimu yetu....tuamue moja tu kiswahili chekechea mpaka chuo kikuu au kienglish chekechea mpaka chuo kikuu.. TUNACHOFANYA SASA NI UNAFIKI NA USANII..
 
Acha ushamba elimu haipimwi na kuongea kiingereza vzr. Hiyo n lugha kama kichina. Msomi tunampima kwa uwezo wake wa kuchanganua Mambo, kuleta utatuzi chanya ktk jamii kwa kutumia elimu yake, sio lugha anayoongea.
 
Mtoa mada embu jaribu kumsikiliza Mzungu aliyejifunza kiswahili then msikilize, ukikuta anazungumza kwa ufasaha ndio uje uhitimishe kuwa lugha ndio kipimo cha uelewa wa mtu. Lugha ambayo sio mother tongue huwa inasumbua wote.
Usichanganye mada ,huyu ni prof aliyefika hapo kupitia hiyo lugha inakuwaje anashindwa kuimudu
 
Kutokuwa fluent kwenye lugha haina maana wewe siyo kichwa kwenye eneo lako la kitaaluma, hivi mtu aliyebobea kwenye mahesabu au uhandisi ana haja yoyote ya kuupepeta ung'eng'e kama Tony Blair.........
 
Kutokuwa fluent kwenye lugha haina maana wewe siyo kichwa kwenye eneo lako la kitaaluma, hivi mtu aliyebobea kwenye mahesabu au uhandisi ana haja yoyote ya kuupepeta ung'eng'e kama Tony Blair.........
Ni sawa kabisa kama utafanya kazi za ofisini na viwandani lakini siyo kuwa mwalimu wala mwanasiasa kwa kuwa utashindwa kujieleza na kueleweka na hivyo kuwapa tabu wanafunzi wako na wananchi kwa ujumla.
 
Mtoa mada embu jaribu kumsikiliza Mzungu aliyejifunza kiswahili then msikilize, ukikuta anazungumza kwa ufasaha ndio uje uhitimishe kuwa lugha ndio kipimo cha uelewa wa mtu. Lugha ambayo sio mother tongue huwa inasumbua wote.
Msikilize bongozozo anavochapa kiswahili halafu fananisha na hizi aaah aah aah za huyu prof.
Ni kwamba tu huyu maza ile kusoma mahali pamoja ndo imefanya asijue kimalkia. Viongozi wengi waliosoma ughaibuni kimalkia wanakichapa.
 
Huyu mama zero kabisa Ajabu anaongoza wizara nyeti Kama hii
Vyeo vinapewa kwa misingi ya gender unategemea nini

Bado kuna wenzake kibao wana wizara nyeti

Ni vile tu hatujawasikia wakiongea hio lugha[emoji1787]
 
Back
Top Bottom