OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #381
kweli kabisa maana wazungu hawa wanatumia kiswahili kuanzia form 1 mpaka phdni kawaida tu mbona !! mbona wazungu wanao jifunza kiswahil huwa wanaongea swahili mbaya mbaya ....
kweli kabisa maana wazungu hawa wanatumia kiswahili kuanzia form 1 mpaka phd
Kutokujua kingereza ndio kunakufanya uwe mkali kama pilipili kichaa! Pole.Wakoloni walitutawala wakiwa hawajui kiswahili na sisi tukiwa hatujui kingereza na waliweza .
Sasa wewe malaya unaona kiingereza ndiyo mali adimu kwako na kitu cha thamani sana eti?
Wanajua kiingereza wote wamefanikiwa?china,kirea,jermani,rwanda,n.k wanaongea kiingereza?
Mbwa wewe
Sio kweli, hapa anazungumziwa mtu aliyesoma kwa Kingereza kuanzia kidato cha kwanza hadi PhD lakini bado hiyo lugha ni shida kubwa kwake.Mtoa mada embu jaribu kumsikiliza Mzungu aliyejifunza kiswahili then msikilize, ukikuta anazungumza kwa ufasaha ndio uje uhitimishe kuwa lugha ndio kipimo cha uelewa wa mtu. Lugha ambayo sio mother tongue huwa inasumbua wote.
Acha upumbavu PhD sio kujua kuongea kingereza kama wazunguMara mia Dr Msukuma kuliko huyu PhD yake ni ukakasi alipataje, ana pure broken English
Ni mzigo mzito hasa.View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Bonus [emoji1787][emoji1787]
Naomba kuuliza mwenzie , hivi content ya mtu kichwani inapimwa na lugha ya kiingereza.???Mara mia Dr Msukuma kuliko huyu PhD yake ni ukakasi alipataje, ana pure broken Englis
PhD yake sio ya English.Mara mia Dr Msukuma kuliko huyu PhD yake ni ukakasi alipataje, ana pure broken English
Hapa naweza nikawa nabishana na ngumbaru aisee ungekuwa umesoma linguistic ungenielewa vizuri kabisa au kama ulibahatika kufika chuo na ukasoma communication skills basi unatakuwa unajua kwamba unaweza ukawa muandishi mzuri kwenye lugha fulani lakini ukawa si mzungumzaji mahiri wa lugha hiyo, language skills inamambo mengi sana kijana nenda shule kwanza.Hacha kujichanganya akuna mzungu alisoma kiswahili nakufanyia research...
Mtu akishindwa kingereza basi ni ushaidi tosha kwamba uwezo wake wa mambo ni mdogo sana unawezaje kufanya research, na phD then ushindwe kuzungumza hicho kilugha...shy
Hapa naweza nikawa nabishana na ngumbaru aisee ungekuwa umesoma linguistic ungenielewa vizuri kabisa au kama ulibahatika kufika chuo na ukasoma communication skills basi unatakuwa unajua kwamba unaweza ukawa muandishi mzuri kwenye lugha fulani lakini ukawa si mzungumzaji mahiri hasa kwenye wa lugha hiyo hasa kwenye swala inakuwa ni instant speaking,Hacha kujichanganya akuna mzungu alisoma kiswahili nakufanyia research...
Mtu akishindwa kingereza basi ni ushaidi tosha kwamba uwezo wake wa mambo ni mdogo sana unawezaje kufanya research, na phD then ushindwe kuzungumza hicho kilugha...shy
Phd za michongo tu hizo hazina tofauti na ya mwenda zakePhD yake sio ya English.
Ni ya Maths
Hehehe! I find it really entertaining. Try watching football with Arabic commentary, halafu Brazil ndio wawe uwanjani....majina tu yanavyotamkwa ni burudani tosha.Especially with arabic accent. It sounds more English than English...
Not really, but it is on my must learn list.Arabic inapanda ndugu?
Au alichukua shahada yake pale open univerisity?View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Bonus 🤣🤣
Basi ungeenda Straight mkuuUnayemzungumzia hakupatia Ph.D yake Tanzania. Ameipatia Chuo Kikuu cha Alberta, Canada. Kabla ya hapo alikuwa anafundisha UDSM.
Hapana, kwa wenzetu doctoral thesis huwa haitetewi mbele ya panel bali inatetewa mbele ya mtaalam wa fani husika anayeitwa external examiner. Kabla ya mwanafunzi kuruhusiwa kuitetea, external examiner anakuwa ameishaipitia kujiridhisha kuwa imefikia kiwango kinachotakiwa.
External examiner haangalii fluency katika matumizi ya lugha bali contents za thesis iliyombele yake na uthibitisho kuwa anayeitetea kweli ameiandika. Uthibitisho huu unatokana na anavyojibu maswali na uelewa wake wa kilichoandikwa. Lahfudh haihusikani katika hilo.
Amandla...