Sasa kinachomuathiri hapo ni nini kama sio accent yake. Wewe ongea kimalkia na British accent tusikie, weka hata audio clip tukusikie manake kwa kuponda hamjambo nyie.Hapa hatuongelei accent wewe. muwe mnajaribu kusoma kabla ya kurukia mada
Naweza kuthibitisha kuwa watu wengi wameshindwa kufuatilia masomo ya science kwa sababu walimu wao walikuwa wanashindwa kujieleza vizuri kwa kutumia kiingereza. Vinginevyo masomo ya science ni sawa na masomo mengine.Kwenye science kuna terminologies siyo maneno ya kwenye kanga kama ya ungwinini, ndo maana ni vigumu sana kuwaelezea mangwini kama wewe scientific concepts kwa undani zaidi ya kuwapa juu juu tu kulingana na uelewa wenu mdogo....
Ni conclusion isiyo na ukweli, wala haijafanyiwa research! Ukweli wana science wengi wanafahamu lugha vizuri kasoro weweKibongobongo wanaoweza kuongea fluent english huenda hawafiki hata 10, wengine ni kukandikija tu na kutafuta tafuta maneno.......ni ngumu kujenga misamiati ya kutosha kwenye lugha ambayo huitumii kwenye mawasiliano yako ya kila siku.
Siwezi kukitaja hicho chuo lakini ni chuo kikuu kinachotambulika tena kina muda mrefuHao wananunua vyuo vya mitaani
Acha contradiction, ukishakuwa scientist tayari lugha unaifahamu, hapa kinachoongelewa ni fluency, accent and ufasaha. Hata nchi za wazungu wenyewe wanaotumia kiingereza kama marekani, uingereza na australia wanachekana kama sisi tunavyowacheka wakenya kiswahili kibovu. Punguza ujuaji usio na msingi, huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya muingereza aliyepo london kama wabongo wengi na wanaojiita wasomi walivyo, fanya kazi tu ya kuponda wenzio nyuma ya keyboard lakini tukikuleta mbele itakuwa kituko.Ni conclusion isiyo na ukweli, wala haijafanyiwa research! Ukweli wana science wengi wanafahamu lugha vizuri kasoro wewe
Profesa wa mchongo..Kwa kimalkia anachoongea Prof., ni kwamba hata Baraza lililomtunukia u-profesa huyu Mama linaonekana ni la mchongo!
Hoja hapa siyo fluency wala accent bali ni broken english ya Ndalichako! Hata kiswahili hapa nchini anachoongea msukuma ni tofauti na mnyakyusa ingawa wanaongea lugha fasaha. Lakini akiongea mjaluo na mmasai utamwelewa lakini siyo kiswahili fasaha.Acha contradiction, ukishakuwa scientist tayari lugha unaifahamu, hapa kinachoongelewa ni fluency, accent and ufasaha. Hata nchi za wazungu wenyewe wanaotumia kiingereza kama marekani, uingereza na australia wanachekana kama sisi tunavyowacheka wakenya kiswahili kibovu. Punguza ujuaji usio na msingi, huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya muingereza aliyepo london kama wabongo wengi na wanaojiita wasomi walivyo, fanya kazi tu ya kuponda wenzio nyuma ya keyboard lakini tukikuleta mbele itakuwa kituko.
Labda pichu ilitumika je?huwezi jua maana hata hawa wengine na wanayoyafanya utajiuliza maswari na hutopata majibuView attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Kuongea kiingereza kwa ufasaha na kutumia misamiati sahihi ni shida kubwa kwa wabongo na nyie mnaojiita wasomi, labda wale walioishi kwa muda ughaibuni hasa nchi zinazotuma kiingereza kama lugha rasmi ya mawasiliano ikiwemo marekani, UK na australia, kutojua lugha fulani kwa ufasaha siyo ujinga......kujenga ufasaha wa lugha ni jambo la kujifunza kila siku, sasa hili linakuwa gumu kwenye nchi ambayo hutumii hicho kiingereza kwenye mawasiliano ya kila siku mitaani na makazini. Kubali tu mkuu huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya mzungu aliyepo london, hiki cha hapa na pale ni cha kujifariji tu na huenda ukiongea mbele ya wenye lugha wasikuelewe........Hoja hapa siyo fluency wala accent bali ni broken english ya Ndalichako! Hata kiswahili hapa nchini anachoongea msukuma ni tofauti na mnyakyusa ingawa wanaongea lugha fasaha. Lakini akiongea mjaluo na mmasai utamwelewa lakini siyo kiswahili fasaha.
Kwa hiyo Ndalichako anaongea broken english na hastahili kutetewa kwa sababu ya science. Hata hivyo sina hakika kama Ndalichako ni scientist!
Nadhani umenielewa vizuri!Kuongea kiingereza kwa ufasaha na kutumia misamiati sahihi ni shida kubwa kwa wabongo na nyie mnaojiita wasomi, labda wale walioishi kwa muda ughaibuni hasa nchi zinazotuma kiingereza kama lugha rasmi ya mawasiliano ikiwemo marekani, UK na australia, kutojua lugha fulani kwa ufasaha siyo ujinga......kujenga ufasaha wa lugha ni jambo la kujifunza kila siku, sasa hili linakuwa gumu kwenye nchi ambayo hutumii hicho kiingereza kwenye mawasiliano ya kila siku mitaani na makazini. Kubali tu mkuu huna uwezo huo wa kuongea fluent english mithili ya mzungu aliyepo london, hiki cha hapa na pale ni cha kujifariji tu na huenda ukiongea mbele ya wenye lugha wasikuelewe........
Amesoma Marekani, pia fuatilia vizuri. Acha kujaji lugha isiyoyakoMsikilize bongozozo anavochapa kiswahili halafu fananisha na hizi aaah aah aah za huyu prof.
Ni kwamba tu huyu maza ile kusoma mahali pamoja ndo imefanya asijue kimalkia. Viongozi wengi waliosoma ughaibuni kimalkia wanakichapa.
Kweli wewe tajiri kichwa fala hahahahahaMimi sijasikiliza ila naunga na nyie wote na michango yenu
Angeongea kiswahili pale si ndo lugha yake.Amesoma Marekani, pia fuatilia vizuri. Acha kujaji lugha isiyoyako
Kweli wewe tajiri kichwa fala hahahahaha
Duuh!! bongo wengi huishi kiujanja ujanja tu ilimradi mkate uende kinywaniPhd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....