Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Siyo kweli! Kwa sababu hakuna anayekulazimisha kuongea kiingereza lakini ukiamua kuongea kiingereza basi ongea kwa ufasaha kiasi, usiwe kituko kiasi unaabisha nchi!
 
Mara mia Dr Msukuma kuliko huyu PhD yake ni ukakasi alipataje, ana pure broken English
Kumbuka ana chupi huyu na Kuna wakati anaivua ili watu wapate burdani.
Kuna kitu nimekigundua. Walimu wa vyuo hawaangaliagi sura Wala chura. Wao wakiona mbudusu wanachanganyikiwa
 
Phd watu wananunua machapisho wala msiogope kuona mtu ana phd siku hizi....kuna mama mmoja nilikuwa nafanya nae kazi huko katavi yeye aliniambia masters yake aliinunua million 11....
Eboooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi interview gani maza ameshawahi kuongea kuhojiww mwanzo mwisho?Sijawahi kuiona,naonaga anasoma tu kwny karatasi.Jiwe ngeli kwake ilikua baba mkwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti hyo ndo alikuwa ana sign vyeti vyetu vya secondary maisha haya na mwandiko m–baya kama mwanafunzi wa chekechea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ofcoz Pipo yuz to dai ini ze ini ze ini zerek[emoji23]...

We lost alot of life thus why Bifoo i derivaring my spech we have to show appreciation to our hero...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mother tongue imemuathiri hawezi kubadilika hata akakae USA bado hawezi kubadilika. Kama wasukuma wa mwanza wanaandika "Baba" ila wanasoma "Bhabha".
Kuasiliwa na lugha mama sio tatizo, huyu lugha anayozungumza ni mbovu kwa ukubwa wa elimu ukiangalia kuwa anaweza kuwa mwalimu sehemu yeyote dunia hususani nchi zinazotumia lugha ya malkia kufundishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…