Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Na wewe acha kupotosha, mama amesema wale (kutafuna) na siyo wafanye kazi!Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....
Tuache upotoshaji koko.....
#Siempre JMT🙏