Wewe mpumbavu tutajie hata watu watano waliouawa na Magufuli? Hivi unaunga mkono huu ujinga anaousema huyu bibi yako? You are very stupid!Kagame na Museveni wanaweza wakawa wanatucheka kwa vile wao wanaua wakosoaji kama alivyokuwa anafanya Magufuli. Sasa tuna Samia haui wakosoaji