Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Halafu huyu mama anatafuta sana kuridhisha wateule wake aonekane wa maana, ni kana kwamba hajiamini kwenye hiyo nafasi.........huu utaratibu wa kujipimia uko kwenye sheria ipi maana tunachojua watumishi wote wanalipwa mishahara kutokana na vigezo mbalimbali........watumishi wamenyimwa nyongeza na kupanda madaraja zaidi ya miaka saba sasa, kumbe kuna wengine wenyewe wanajipimia, bullshit!​
 
Kwahiyo mnadhani nchi hailiwi au ni kujidanganya?
 
Unaonaje hiyo voice clip waweke kila baada ya kwisha kwa taarifa ya habari ya saa 2 usiku ya ITV na TBC kama wanavyofanya kwa hotuba zingine?
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Tatizo huyo mwenye vision ndio alimchagua huyo unayemuita hopeless. Tena chaguzi mbili mfululizo.
 
Hata kama kiswahili ni shida hapa anahamasisha rushwa ufisadi. Impeachment a requirement to this strange president
 
Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....

Tuache upotoshaji koko.....

#Siempre JMT🙏
Ufisadi ulafi vinaleta kuvimbiwa tusidanganyane
 
Kwahiyo mnadhani nchi hailiwi au ni kujidanganya?
Tatizo wabongo tumezoea unafki, mama kaongea kitu cha kweli, nani asiyekula katika nafasi aliyopo? Mtanzania yeyote hata kwa kazi ya ulinzi kuna namna ananufaika kwa nafasi ile tatizo mama kawakumbusha usije kunjinufaisha/ kunufaika kwa nafasi hiyo hadi unacompromise majukumu yako.
 
Wewe msenge nimekwambia leta list hapa achana na msenge wako! Huma hata ushahidi unapuyanga tu! Pumbavu zako! Hao umewataja wote ni marehemu? Hao madiwani wakiuliwa kwa matendo yao unamsingizia Magufuli? Hata huyo Azori Gwanda unaushahidi gani?
 

Kuleni kwa kiasi msile kwa kupitiliza haya tupe na maana ya hiyo we unaejua kutoa taarifa sahihi sisi wengine wazito kuelewa
 
Hivi kufa ni ajabu? Huyo Lisu unajua maumivu wanayopitia? Bado atakuwa na maumivu mpaka kufa na bado ataoza vile vile! Wapumbavu ndo hufikiri kuishi ni faida! Hujui kuwa kufa ni faida zaidi!!?
 
Kwahiyo mnadhani nchi hailiwi au ni kujidanganya?
Wanachomaanisha watu ni kuwa hata Kama Kuna mawaziri wanakula/wanaiba, inapaswa raisi kuwawajibisha au kuwaondoa ili kuondoa huo wizi na sio kuwaruhusu au kuwaonea huruma
 
Hakuna unafki, yeye Kama Rais alipaswa kukemea hiyo hali na kuchukua hatua.
Nchi zote tunazoona zimeendelea ni sababu ya kupinga na kuzuia rushwa au ufisadi serikalini.
Mfano. Watu wanakula rushwa Ila si unaona kila Mara takukuru wanakumbusha kuaa kutoa na kupokea rushwa ni kosa lla jinai.
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Nani alikuwa na vision, yule jambazi wa Chato? Jiwe na Hangaya wote takataka tu, hakuna kitu nashangaa kwanini huyu naye haendi zake
 
Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.
Bora huyo dada mara elfu kuliko lile jambazi liuwaji na linalotesa, Alhamdulilahi limetokomea au kutokomezwa kuzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…