Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Aisee ivi unaijua 1.5 trillion???
Hiyo pesa mtuanaweza kuiiba pekeake alafu isijulikane ilipo, aliiweka kwenye account gani ama ipo kwenye mabegi nyimbani kwake?.
Angeiba hiyopesa kwajinsi mafisadi wanavyo mchukia saizi kila ushahidi ungewekwa wazi dunia nzima ione.

Acheni kulopoka lopoka.
Mlafi wa karne. Jamaa alituweza aisee.
 
Kwanza ukisikiliza hiyo Crip ina shida gani? Mbona Rais anawaasa mawaziri kuacha wizi? Tena anawaambia waache urafi na katoa mifano .

Lakini ni ukweli pia kwamba kila mtu anakula alipo ila ulaji usiwe wa uharibifu.

We bogus bora ungekaa kimya tu maana hata haueleweki unacho andika, "CRIP" ndio kitu gani.
 
K
Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......

Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....

Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......

Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......

#Siempre JMT🙏
Kwani wanachomeana kwa ajili ya nini unadhani?
Hawachomeani kwa ajilibyako bali ni jinsi gani kila mmoja wao anataka kula keki ya taifa b8la bughudha.
Na hiyo kamba anayosema ni ipi huko kwenye mawizara?
Tusaidie jibu.
 
Sasa kama wanafanya kwa majukumu yao kwa nini wachongeane na wasile saana kitu ambacho anajua huwa wanakila ila wanazidisha kukila?
Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....

Tuache upotoshaji koko.....

#Siempre JMT🙏
 
Nimemsikia Rais Mama Samia anasema kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake akiwambia kikao na Mawaziri wake, sijuwi amemaanisha nini kwamba mawaziri sasa wataanza kugawana rasilimali na mapato?

Emu tujielekeze hapa kidogo wale watu wenye taaluma fasihi, Mama kila siku anatoa kamsemo mpya mpya

View attachment 2079590

Natanguliza shukurani
Kiongoz wa ajabu sijapata kuona walahi!!!
 
Upotoshaji KAZI KWELIKWELI......

Mama ameongea mengi akitaja MUHALI.....

Ile hali ya kutoambiana ukweli kwa KUOGOPANA NA KUHOFIANA kutoudhiana.......

Amefuatilizia na kukanyana kuhusu ile tabia ya BAADHI YA MAWAZIRI/NAIBU MAWAZIRI kwenda "kuchomeana" kwake.....hapa ndipo KILA MTU ALE UREFU WA KAMBA YAKE na si vingi nevyo......

#Siempre JMT[emoji120]
Ule mfano wa vitalu vya uwindaji uliuelewa?
Kwamba huyu anataka auze hiki na yule kile kila mmoja anamshiko wake.
Msitufanye hazipo. Tuna akili kupita hao wanaotuongoza sema tunawaheshimu na kuheshimu JMT
 
Tuna rais weak mno haijapata kutokea.

Mark my word bro manengelo huyu Rais yawezekana akawa mzuri zaidi kuliko Marais wote waliowahi kuongoza JMT.
Kiongozi mzuri ni yule asiye mtawala, bali anayetenda kwa vitendo na kushirikisha wenzake kwa vitendo na uwazi.

Tumuunge mkono na kushauri penye kuna kosa kwa staa na weledi, sisi ni binadamu wala sio Malaika.
 
Mbona laisi tu,kuna mtu aliwahi yatamuka haya maneno:
1)wapeni polisi 5000/=,hiyo ni hela ya brush,
2)unataka upanuliwe mbere au nyuma!!?
3)kama huwezi lipa 200/= rudi na mavi yako nyumbani

Na bado akapata watetezi.
Kadri mnavyojaribu kumtetea ndivyo anazidi kujipaka "mashi" mwili mzima....huyu habebeki wallah nawaambia!
 
Pumbavu mkubwa wewe Liwagu unaniita Mimi mropokaji?? Kwani hukusoma ripoti ya CAG Prof Assad ya 2016/17? Ni lini tulipewa jibu juu ya hoja ya ukaguzi hiyo?

Akili yako fupisana, unashindwa hatakujiuliza kwamba kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiyo unadhani uchunguzi ungesubiri mbaka leo wakati muhusika amesha kufa?.

Wajomba zako mafisadi wangesha anika kilakitu mapema asubuhi.

Natayari tungesha jua cheni ya wote walio chota hizopesa.
1.5 Trillion sio pesa ya kipumbavu, najua unafahamu wingi wa pesa kama hiyo na isingepotea kijinga jinga sema unajifanya mwendawazimu tu.
 
Mark my word bro manengelo huyu Rais yawezekana akawa mzuri zaidi kuliko Marais wote waliowahi kuongoza JMT.
Kiongozi mzuri ni yule asiye mtawala, bali anayetenda kwa vitendo na kushirikisha wenzake kwa vitendo na uwazi.

Tumuunge mkono na kushauri penye kuna kosa kwa staa na weledi, sisi ni binadamu wala sio Malaika.
Huyu siyo wa kumwendea kwa staha na upole. Huyu ni kuruka nae mpera mpera. Tusipofanya hivyo nchi itapigwa mnada mchana kweupe
 
Akili yako fupisana, unashindwa hatakujiuliza kwamba kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiyo unadhani uchunguzi ungesubiri mbaka leo wakati muhusika amesha kufa?.

Wajomba zako mafisadi wangesha anika kilakitu mapema asubuhi.

Natayari tungesha jua cheni ya wote walio chota hizopesa.
1.5 Trillion sio pesa ya kipumbavu, najua unafahamu wingi wa pesa kama hiyo na isingepotea kijinga jinga sema unajifanya mwendawazimu tu.
Tuache utani, jiwe alifanya ufisadi wa laana. Nchi itamkumbuka kwa mengi sana.
 
Duuh, inabidi katiba ibadilishwe huko mbeleni tusi mpate mrithi wa rais katika mtindo kama huu wa sasa, ikiwezekana bora kuingia gharama za uchaguzi tuanze na mtu mpya.
 
Back
Top Bottom