Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

Kauli ya Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake sio kauli poa kabisa. Nawasisitiza Watanzania wenzangu tusikubali kauli hii iliyosemwa kwa mawaziri.
 
Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....

Tuache upotoshaji koko.....

#Siempre JMT[emoji120]
Utavimbiwaje na kazi inayokuhusu...!? Acha kutetea ujinga.
 
Inakuwaje aseeh chalyzangu!

Kama ilivyo ada na kawaida ya mmatumbi (mbongo) tunaendaga na matukio. Siku hizi maamae neno masaburi humu jamvini alisikiki tena kabisa lilivyo kuwa maaruf.

Hii nayo ya kula kwa urefu wa kamba itapita tu na itakuja nyingine tunajikuta 2030 hiyoo bado tu asilimia 95 ya mmatumbi anaendelea qunyer vichakani.

Kuna ile wanawake wanaocheza mpira hawana matiti vifua vyao flats watakosa Wanaume wa kuwaoa ilikuwa maarufu sana humu nayo imempita.

Sisi wabongo tunaenda na matukio sana hatuangaliagi fyucha. Tunaishi maisha yetu kimungu mungu na kubahatisha bahatisha. Hata hivyo Sirgodi naye utupigaga tough tu. Isingekuwa hivyo kipindupindu kingetufyeka long-time ila tunaishi nao na tunakomaa na tunasonga mbele kibishi hivyo hivyo.

Pia anatuepushaga na majanga mengi ya asili fikiria ule mzinga wa Tonga maamae ungetokea kwenye pwani yetu wote tungesombwa na majumba yetu ya tembe.

Kikubwa mkono kwenda kinywani na "miti" baas!

Mbowe siyo gaidi!
 
Mimi kama mchangiaji wa kwanza wajibu wangu ni kutupia haraka sana video ya kutafuna nchi hadi kuvimbiwa.
 
Tunakataa hayo uliyoandika kwa jina la Yesu.

Sisi ni vichwa wala siyo mkia kwa jina la Yesu.

Na tutaitawala dunia miaka michache ijayo kwa jina la Yesu.

Hakuna tena kizuizi mbele yetu kwa jina la Yesu.

Mnaodhani sisi ni malofa na mnaotamani tuwe malofa mtabaki wenyewe mkitushangaa na mshindwe kwa jina la Yesu.
 


Najitahidi kujiaminisha kwamba hii kauli imetoka kwa nia njema, lakini wapi. Hii kwangu na kwa wengine tunaona ni kama fungulia mbwa kwa wapigaji. Ndio maana hata kuna wizara unasema daah huyu naye kawa waziri?!!! Mbona ana kashfa nyingi sana. Kwa serikali safi,hata kutajwa tajwa tu inatosha kuwa doa.

Najaribu kuwaza, kwa hiyo ruksa iliyotoka muda huu mchana huu kuna mtu anajipimia?!!
 
Haya wanangu changamkeni changamkeni tafuta sehemu ya kupiga pigeni..mtafute boya wa kuruka naye mtafute.....nchi ya kugawana posho hii tusikae kinyonge na wewe Kama Kuna chance huko ulipo unafumua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mno kama taifa. Zaidi ya miaka 5 tumepoteza
 
Haya wanangu changamkeni changamkeni tafuta sehemu ya kupiga pigeni..mtafute boya wa kuruka naye mtafute.....nchi ya kugawana posho hii tusikae kinyonge na wewe Kama Kuna chance huko ulipo unafumua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani! Jamani, Jamani, jamani!
 
Inauma sana hata soko la Karume wamejipimia 10% ya ujenzi na baadae kujimilikisha vizimba vyote
 
View attachment 2084892

Najitahidi kujiaminisha kwamba hii kauli imetoka kwa nia njema, lakini wapi. Hii kwangu na kwa wengine tunaona ni kama fungulia mbwa kwa wapigaji. Ndio maana hata kuna wizara unasema daah huyu naye kawa waziri?!!! Mbona ana kashfa nyingi sana. Kwa serikali safi,hata kutajwa tajwa tu inatosha kuwa doa.

Najaribu kuwaza, kwa hiyo ruksa iliyotoka muda huu mchana huu kuna mtu anajipimia?!!
Fatma Karume aliwahi kusema huyu maza ukimwondolea speech iliyoandikwa tu lazima atoe boko..
 
Safi sana!

Mama anafungua nchi na kuwakomesha mataga, sukuma gang na huku sisi tukishangilia ili kumkomoa ndugai
 
Tuache kuwapa wazee madaraka kwa miaka ambayo wamekaa madarakan tumeona walivyotupiga wakiwa madarakani wanafanya Apo Ni sehm ya kula pension na sio manufaa ya wananchi vijana ndo tunajua hustle zilivyo uku kitaa
Baadhi ya vijana (sio wote) wanazingua....rejea kina Sabaya na wenzake hivyo ni ngumu kuaminika na jamii kwani wamewachafulia wenzao.
 
"Kuleni kwa urefu wa kamba" "msivimbiwe" "Jipimieni"

Aise kama taifa hakika tumekosa viongozi. Angalizo mimi sio sukuma gang, sio team Msoga, sio urojo unit, infac wala sio chama mamboga mboga. Mimi ni mwanamchi niliebaki na akili timamu.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sasa kwa nini watu wasipige kwa urefu wa kamba zao?

Ndege ilikuwa na mkataba wa bil 300+ walioshauriwa kupiga kwa urefu wa kamba zao wamepiga shilingi iliyozaa shilingi

Mkuu wa nchi anabaki kug'aka stupid stupid.

Taifa linaangamia na litaibiwa sana.
 
Sasa kwa nini watu wasipige kwa urefu wa kamba zao?

Ndege ilikuwa na mkataba wa bil 300+ walioshauriwa kupiga kwa urefu wa kamba zao wamepiga shilingi iliyozaa shilingi

Mkuu wa nchi anabaki kug'aka stupid stupid.

Taifa linaangamia na litaibiwa sana.
Uharamu wa Magufuli hauwezi futika hata kwa jiki...kojoa ulale.
 
Back
Top Bottom