Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utavimbiwaje na kazi inayokuhusu...!? Acha kutetea ujinga.Urefu wa kamba ni kila mtu afanye kazi inayomhusu.......majukumu ya kazi YAMEBAINISHWA KIFASAHA....
Tuache upotoshaji koko.....
#Siempre JMT[emoji120]
Jamani! Jamani, Jamani, jamani!Haya wanangu changamkeni changamkeni tafuta sehemu ya kupiga pigeni..mtafute boya wa kuruka naye mtafute.....nchi ya kugawana posho hii tusikae kinyonge na wewe Kama Kuna chance huko ulipo unafumua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fatma Karume aliwahi kusema huyu maza ukimwondolea speech iliyoandikwa tu lazima atoe boko..View attachment 2084892
Najitahidi kujiaminisha kwamba hii kauli imetoka kwa nia njema, lakini wapi. Hii kwangu na kwa wengine tunaona ni kama fungulia mbwa kwa wapigaji. Ndio maana hata kuna wizara unasema daah huyu naye kawa waziri?!!! Mbona ana kashfa nyingi sana. Kwa serikali safi,hata kutajwa tajwa tu inatosha kuwa doa.
Najaribu kuwaza, kwa hiyo ruksa iliyotoka muda huu mchana huu kuna mtu anajipimia?!!
Una hofu ya kitu kisichokuwepoTunaenda kutengenezewa Downs zingine sita
Baadhi ya vijana (sio wote) wanazingua....rejea kina Sabaya na wenzake hivyo ni ngumu kuaminika na jamii kwani wamewachafulia wenzao.Tuache kuwapa wazee madaraka kwa miaka ambayo wamekaa madarakan tumeona walivyotupiga wakiwa madarakani wanafanya Apo Ni sehm ya kula pension na sio manufaa ya wananchi vijana ndo tunajua hustle zilivyo uku kitaa
Nimesikitika mno nimeiona hii speech nimedharau kila kituSasa kwa nini watu wasipige kwa urefu wa kamba zao?...
Uharamu wa Magufuli hauwezi futika hata kwa jiki...kojoa ulale.Sasa kwa nini watu wasipige kwa urefu wa kamba zao?
Ndege ilikuwa na mkataba wa bil 300+ walioshauriwa kupiga kwa urefu wa kamba zao wamepiga shilingi iliyozaa shilingi
Mkuu wa nchi anabaki kug'aka stupid stupid.
Taifa linaangamia na litaibiwa sana.