Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Huu ni moja ya mikakati yake mkuu. Mama amedhamiria kulala mbele na wezi wa rasilimali za taifa.
Safi sana ila wapo wengi sana inahitaji wasaidizi wengi maana huwa hawana huruma washenzi hao
Atajaribu kuwamaliza ila mmh
 
Story za vijiweni

Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu

Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG

Watu mnafahamu maana ya Auditing?

Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini

Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri

Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini

Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG

Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu

Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Tumekusikia dada mbadhirifu
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Ikitokea akabadilisha jambo ambalo nahisi halitatokea, atabadilisha kwa sababu zake wala sio kwa sababu ya ripoti ya CAG ripoti ya CAG huko serikalini imeshatupwa kwenye kaburi la sahau.
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Kama ni kweli basi itakuwa ni hatua moja nzuri mbele.
 
Mama anayagwaya mafisadi kinoma...au labda tatizo ni mshika rimoti??.
 
Story za vijiweni

Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu

Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG

Watu mnafahamu maana ya Auditing?

Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini

Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri

Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini

Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG

Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu

Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Utakuwa mmoja wao. Endelea kulamba asali. Wazuri hawafi mapema.God is good.
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Hana Option zaidi ya Kurudi kuteua kutoka Bunge la Mchongo, akina Babu Tale, Msukuma, Kishimba, Kibajaji na Vilaza wengine
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
Naamini kikubwa alichofanya ni kusema "Stupid".. Hapo ndipo nguvu yake ilipoishia.

So far Watanzania tumeshasahau na tunaendelea na Maisha....
 
Story za vijiweni

Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu

Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG

Watu mnafahamu maana ya Auditing?

Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini

Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri

Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini

Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG

Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu

Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Nilitamani kuandika kitu serious, lakini nimekuja ku learn kuwa you are a child ! Ulicho andika unakijua mwenyewe.
 
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa. Aidha, wakurugenzi ambao halmashauri zao zilipewa hati chafu nao watafyekelewa mbali na panga la Mh Rais. Na wale waliopata hati zisizoridhisha watahamishwa vituo vyao vya kazi ili kupewa nafasi ya mwisho kujirekebisha.

Kana kwamba hii haitoshi, inasemekana vigogo wote ambao walihusika moja kwa moja au kwa kushindwa kusimamia taasisi zao na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha za umma, nao watasombwa na mafuriko haya na wengi wao watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria. Moto wa mama umewaka. Waliodhani anatania siku alipochukia na kuwatukana stupid, msidhani alikuwa anatania. Mbivu na mbichi lazima zijulikane. Hakuna hata mtu mmoja atakayechezea fedha za umma akabaki salama. Taarifa hizi zimepenyezwa na watu walio karibu na utawala.

MAONI YANGU
Namuunga mkono mama Dr Rais Samia kwa kuwachukulia hatua watendaji waloshindwa kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma pamoja na kuwashughulikia mafisadi wote lakini nashauri jambo hili lifanyike kwa umakini mkubwa kwa kuhakikisha kwamba ni wale tu waliohusika na uzembe au ubadhirifu ndio wanachukuliwa hatua kali. Isitokee watu wasiohusika kuingizwa kwenye mkumbo. Utawala washeria sharti uchukue nafasi yake.

Nawasilisha.
HIlo haliwezekani kabisa sababu baadhi ya mafisadi papa ni watu wanamhusi yeye binafsi na ni watu wake karibu. Ikumbukwe pia CCM kama taasisi huwa inahusika katika ufisadi mkubwa hasa unapokaribia uchaguzi
 
Inaelekea we Mzee N mwizi sana , hizo errors ulizo zisema ni hazikubaliki kabisa, Huwezi kuandika invoice Haina tarehe, itakuwa invoice ya nmana Gani hiyo , CPA kabisa wa kwenye idara au taasisi kwenye document za malipo haweki muhuri wa PAID, kweli ni accountant wa namna Gani? Lazima utakuwa ni mwizi TU
Hilo ni jizi lililobobea mkuu. Haya ndiyo mjitu yanayotafutwa na Samia yafungwe jela ili liwe fundisho kwa wengine.
 
Nakula kwa urefu wa kamba,kamba yangu sio ndefu sana

Hata wewe ukipewa nafasi utakula ,Shida ndio zinakufanya upige kelele

Lakini pesa inaleta comfortability fulani na kujiamini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee punguza wizi wa fedha za umma utakupeleka jehanamu. Hupendi kufika mbinguni?
 
Story za vijiweni

Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na watu,Mama hana haja kurithi ugomvi wa JPM na baadhi ya watu

Mama atengeneze maadui wake mwenyewe,Msilazimishe kila adui wa JPM awe adui wa Samiah

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama ndio inathibitisha wezi na siyo CAG

Watu mnafahamu maana ya Auditing?

Auditor hata malipo yakiwa halali ila tarehe ya malipo watu walisahau kuandika kwenye invoice ana ona kuna hatari ana ireport na kuandika kuna malipo hewa,Sasa typing error au kusahau ni mambo ya kawaida huko serikalini

Auditor hata muhuri ukikosekana kwenye document ya muhuri wa PAID ana report kuwa kuna issue? Sasa kusahu muhuri kugonga hata Bank wanasahau sembuse huko halmashauri ni kawaida watu kusahau kugonga mihuri

Ndio maana watu wanapewa muda kujibu hoja ,La sivyo utafunga wafanyakazi wote jela serikalini

Kuna maswali mengine aachiwe Internal auditor apambane nayo na siyo CAG

Tatizo kubwa hapa Tanzania ni elimu ...elimu...elimu

Watu wengi hawajui kazi ya ofisi ya CAG na hata maana ya report yake na mpaka kuna wabunge nao hawaelewi ,Elimu ni muhimu kuhusu Auditing na kazi ya CAG
Kwahiyo wale walioongeza bei kwenye manunuzi ya ndege nao ni makosa ya kihasibu


Wale walioongeza bei kwenye mabehewa ya treni ya sgr nao ni issue ya makosa ya kihasibu


Wale wanaokopeshana nhif hela zote za members WA mfuko Hadi mfuko unakaribia kucollapse ?


Wale walioongeza cha juu kwenye ujenzi WA treni ya mwendokasi (sgr) phase 3?


Una ujinga Sana wewe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom