Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 247
- 715
Madudu hayaishi we unadhani ni kitu kitu gani kilimfanya jpm afoke kila siku hadi afya yake ikatetereka!! Msimsingizie mama wtz ni wezi mno tena mnoSerikali ya kisanii imerudi teena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madudu hayaishi we unadhani ni kitu kitu gani kilimfanya jpm afoke kila siku hadi afya yake ikatetereka!! Msimsingizie mama wtz ni wezi mno tena mnoSerikali ya kisanii imerudi teena.
Naunga mkono hoja sisi wa Tz wezi ila, unapokuwa kiongozi ukiona km ya leo haina haja ya kulalamika, ilitakiwa sheria ichikue mkondo wake. Sisi tungesoma tuu magazetini hawa wameisababishia hasara serikali yetu. Lakini kumjua mkopaji alafu unamtaja kakopa kakimbia So what!!! Kwa mimi niliye kuwa huku viwanja sitini ifakara na namuona aliyetoroka mjanja sana kuliko serikali ndugu.Madudu hayaishi we unadhani ni kitu kitu gani kilimfanya jpm afoke kila siku hadi afya yake ikatetereka!! Msimsingizie mama wtz ni wezi mno tena mno
Maana wanajua hakuna wa kuwafanya chochote pesa watakula na hata wakifukuzwa kazi hawafanywi chochote wataendelea kula pesa walizoiba wakiwa nje ya kazi,Rais Samia amesema kuna ushirikiano wa wanaoenda kukopa na maafisa wa benki na wahusika wapo lakini wanatizamwa tu na wanajua walichokifanya.
Mpwayungu kaleft group mkuuu hana lolote hyoAtakuwa mpwayungu village au GENTAMYCINE
Benk 5 ? Mchongo wa watu wa bank huyo hawezi kua conman ni ujanja tu wa watu bank kutaka pesa nyingi kwa haraka, na wanajua hata wakiiba hakuna wa kuwafanya chochote aliekua anawapigisha chafya kashaenda zake zaidi ya kusemwa maneno ya mipasho tu wataitwa stupid wataitwa pumbavu alafu imetoka hio kesho wanaona tena wanaiba tena watakuja kusemwa tena imetoka hio yaan series ndio ipo hivyo ni mwendo wa kuiba tuLakini kumjua mkopaji alafu unamtaja kakopa kakimbia So what!!! Kwa mimi niliye kuwa huku viwanja sitini ifakara na namuona aliyetoroka mjanja sana kuliko serikali ndugu.
Ongeza 0 moja5 000 000 000
, 😂😂😂😂😂🐧🐧🐧🐧🐧Mama mpk anatoa maneno ambayo sio. Nkuambie tu mama hata ungetukana matusi ya nguoni kama huchukui hatua ni sawa na bure tu. Aliyevuna billion's hata ungetukana matusi yote sio ishu kwake.
Nimecheka kaa fala 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Benk 5 ? Mchongo wa watu wa bank huyo hawezi kua conman ni ujanja tu wa watu bank kutaka pesa nyingi kwa haraka, na wanajua hata wakiiba hakuna wa kuwafanya chochote aliekua anawapigisha chafya kashaenda zake zaidi ya kusemwa maneno ya mipasho tu wataitwa stupid wataitwa pumbavu alafu imetoka hio kesho wanaona tena wanaiba tena watakuja kusemwa tena imetoka hio yaan series ndio ipo hivyo ni mwendo wa kuiba tu
Ndio ukweli ulivyo japo ni mchungu na unachekesha pia mkuu,Nimecheka kaa fala 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaah aseee huyo mbwa kalamba asali ya kwake na vizazi vyake aseee 50B sii mchezo alafu hafanywi kitu sasa daaah mpaka raha 😂😂😂😂😁😁😁Ndio ukweli ulivyo japo ni mchungu na unachekesha pia mkuu,
Kuna msemo unasema Acholile Kachora wakwere nadhani, yaan hio sadakarawe watu washacheza aliepata kapata wanajua wakishaiba mama mwenye nyumba atakuja kubwabwaja wee wanamwangalia tu akimaliza yanaingia huku yanatokea huku watu wanacheck angle zingine za kuiba walioiba hawafanywi chochote na wanajua hakuna wa kuwafanya chochote na kuiba wameiba unategemea nini? Utakuja kuimba taarabu tu pumbavu stupid basi watu kesho wanaiba tena tena mbaya wanaiba mbele ya macho yako hivi unaowaona na mkono wa pongezi hongera kwa kuiba unawapa kumbe wameibaHili nalo mkaliangalieni vizuri.
Haya mambo sio ya kufumbia macho Wala kutamka kimafumbo. Kama Benki zipo waliohusika ni watumishi, sahihi zipo, pesa zikiingizwa akaunti gani na ya jina la nani kwenye Benki gani mahali gani? Na zilihamishwaje Kuna haja gani kuogopa kuwapatia wahusika?
Au ndio Shamba la bibi linazidi kupakuliwa?
MaChawa mpo?!
Daaah nimekumbuka mbali sana 😂😂😂😂Enzi za laki si pesa
😂😂😂😂😂Tanzania ni nchi rahisi sana kuipiga hela ukiwa smart kichwani yaani hutumii nguvu sana.. Huyo mfanyabiashara ametisha..
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.Kuna msemo unasema Acholile Kachora wakwere nadhani, yaan hio sadakarawe watu washacheza aliepata kapata wanajua wakishaiba mama mwenye nyumba atakuja kubwabwaja wee wanamwangalia tu akimaliza yanaingia huku yanatokea huku watu wanacheck angle zingine za kuiba walioiba hawafanywi chochote na wanajua hakuna wa kuwafanya chochote na kuiba wameiba unategemea nini? Utakuja kuimba taarabu tu pumbavu stupid basi watu kesho wanaiba tena tena mbaya wanaiba mbele ya macho yako hivi unaowaona na mkono wa pongezi hongera kwa kuiba unawapa kumbe wameiba
Usicheke sana mkuu sina spair za mbavu usijenipa murder case,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Daaaah mbavu zangu zinavunjika aseeee
Kwani jamaa kakopa bilioni ngapi?Ongeza 0 moja
Daaaah aseee hii serikali inanichekesha sana mkuuu just imagine 50B zimesombwa kama mkate na huyo mtu hafanywi kitu 😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah magu atakumbukwaUsicheke sana mkuu sina spair za mbavu usijenipa murder case,