Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
Benki ya 1 6BKwani jamaa kakopa bilioni ngapi?
Benki ya 2 12B
Benki ya 3 13B
Benki ya 4 7B
Benki ya 5 8B
Benki ya 6 4B πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Benki ya 1 6BKwani jamaa kakopa bilioni ngapi?
Utawezaje sasa ww ππππ lazima ulambishwe π―π―π―π― kaa kwa kutulia madenyiTunaweza hata tusipowezeshwa
Syndicate? Can we say so?Benki ya 1 6B
Benki ya 2 12B
Benki ya 3 13B
Benki ya 4 7B
Benki ya 5 8B
Benki ya 6 4B πππππ
Ndo nn hiyo syndicate π€Syndicate? Can we say so?
Urefu wa kamba bobuWananchi tumebebeshwa mitozo kumbe kuna watu wanajichukulia pesa kiulaini!
Halafu watu wanataka eti tumsahau Magu kirahisirahisi tu !!daaah magu atakumbukwa
Daaah mwamba ana nyota kali sana aseee si uongo huo mkuuu nchi saizi inarudi ilivyokuwa kwenye utawala wa 4 ππππ laki 1 sio pesa πππHalafu watu wanataka eti tumsahau Magu kirahisirahisi tu !!
ni muungano wa muda unaoundwa na wataalamu ili kushughulikia muamala mkubwa ambao haungewezekana kutekelezwa na kiumbe aitwae bin adam akiwa peke yakeNdo nn hiyo syndicate π€
Ohh sawasawa basi ndo hivyo jama kapiga syndicate ππni muungano wa muda unaoundwa na wataalamu ili kushughulikia muamala mkubwa ambao haungewezekana kutekelezwa na kiumbe aitwae bin adam akiwa peke yake
Yani inasikitisha sana SSH kuwa level moja na JK π’Daaah mwamba ana nyota kali sana aseee si uongo huo mkuuu nchi saizi inarudi ilivyokuwa kwenye utawala wa 4 ππππ laki 1 sio pesa πππ
Huyu ni rais anayeongoza nchi?Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.
βKuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefuβ
βKuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?
Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemeaβ
WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?
Tatizo Sasa hivi Ni kwamba, atatumwa Nani akamkamate Nani?Kila mtu analalamika, nani wakuchukua hatua sasa.
Hapo amri ni moja tu, kamata wote tupa ndani, uhujumu uchumi na money laundering mahabusu 20yrs, hukumu 100yrs. Na mali zote mali ya serikali.
Ukifanya hivi x 10 tu kila mtu ataogopa mali ya umma..
JPM alikomaa na wale matycoon wa Unga wakalambwa mvua za kutosha, kuanzia wauza mirungi, bhangi na unga woote ukijaa nyavuni unakula mvua wote wakaiogopa dola...Sasa hivi imeshakuwa oya oya wauza powder wameanza tena kutamba.
Acha utani.Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.
βKuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefuβ
βKuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?
Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemeaβ
WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?
Hahahahahaaa.. tatizo lingine unakuta pengine, watu hao wanaoiba ndo wanakuja kufadhili Chama au serikali kupitia mlango wa uwani.....kaazi kweli kweli..Benki ya 1 6B
Benki ya 2 12B
Benki ya 3 13B
Benki ya 4 7B
Benki ya 5 8B
Benki ya 6 4B πππππ
We kufadhili wapi pesa zinasombwa ulaya watu wana invest kwenye ma bonds, real estate, bitcoin na asset zingine kipindi cha Kikwete kuna waziri siwezi mtaja alisepa na 66B ana 5 star hotel 3 nchini Canada hivi vitu mkuuu havinaga muongozo aseeHahahahahaaa.. tatizo lingine unakuta pengine, watu hao wanaoiba ndo wanakuja fadhili Chama au serikali kupitia mlango wa uwani.....kaazi kweli kweli..
Aisee, kumbe ndo maana Bodoboda ni LAANAMr Q naona unatoa macho hizo hela huyo jamaa kasepa nazo anaenda kununua stock na kuinvest kwenye ma bitcoin harudi tena huku bongo
Watu wanabaki wana lialia tu π
We uliwahi kuona bodaboda USA ππππΊπΈπΊπΈπΊπΈAisee, kumbe ndo maana Bodoboda ni LAANA
Sasa anamwambia nani?. Tuna kiongozi dhaifu sana, majizi yapo kila kona yeye asichukue hatua aendelee kuwabembeleza aone atakachovuna. Inasikitisha sana.Rais Samia amesema kuna ushirikiano wa wanaoenda kukopa na maafisa wa benki na wahusika wapo lakini wanatizamwa tu na wanajua walichokifanya