Rais Samia: Kuna mtu kakopa benki zetu 5 katoweka

Huyu ni rais anayeongoza nchi?

God have mercy on us.
 
Tatizo Sasa hivi Ni kwamba, atatumwa Nani akamkamate Nani?
Waziri wanajua alivyoiba
Karibu mkuu mwizi
Makamishna wezi
Wakurugenzi wezi
Takukuru imekua rukukuta
Polisi imekua polisi jazz bend
iPhone inanunulika kiulaiiini.
 
Acha utani.
Dunia hii ya leo kuna "mtu kutokomea kusikojulikana"?
 
Hahahahahaaa.. tatizo lingine unakuta pengine, watu hao wanaoiba ndo wanakuja fadhili Chama au serikali kupitia mlango wa uwani.....kaazi kweli kweli..
We kufadhili wapi pesa zinasombwa ulaya watu wana invest kwenye ma bonds, real estate, bitcoin na asset zingine kipindi cha Kikwete kuna waziri siwezi mtaja alisepa na 66B ana 5 star hotel 3 nchini Canada hivi vitu mkuuu havinaga muongozo asee

Watu wanajali vizazi vyao tu hapa
 
Rais Samia amesema kuna ushirikiano wa wanaoenda kukopa na maafisa wa benki na wahusika wapo lakini wanatizamwa tu na wanajua walichokifanya
Sasa anamwambia nani?. Tuna kiongozi dhaifu sana, majizi yapo kila kona yeye asichukue hatua aendelee kuwabembeleza aone atakachovuna. Inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…