Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Huu ujinga kawashauri ufipa na sukuma gang wataupokea.Balozi wetu UAE almost sawa na Rais wa JMT.
Huyu mama na JK kwa kusafiri ninawapongezaKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Rais ndio fundi mashine sio? Akikaa ofisini ndio zitafanya Kazi? Una akili kweli wewe?Daah kwani hatuna ubalozi uko?!
Mashine za Kuscan Muhimbili hazifanyi kazi watu wanakwea mapipa tu…tutaelewana tu
Nimegundua kubishana na fukara ni kujipa tabu zisizokuwa na ulazima.Nonsense,kubwa jinga
Hawasafiri bure ujue,sio kama wewe huna cha kufanya hata ukisafiri,you are uselessHuyu mama na JK kwa kusafiri ninawapongeza
Tukisubiri tuone, tutakuwa tumechelewa sana. Ni wakati wa kuchukua hatua, azuiwe atake asitake.Yaani ni awamu ile, wahuni walimpangia safari JK ya mwaka mzima, anakaa huko wiki 2 akiridi anazuga ziara ya kikazi mkoa mmoja ama 2 anatoweka tena hivyo hivyo.
Na huyu mama mtindo ndio huo huo.
Tusubiri tuone.
Mkuu wangu Nyboma ukimsikiliza vyema balozi wetu wa nchini China mh.kamarada Mbelwa Kairuki utaelewa alimaanisha nini Tanzania kuhitajika kuongeza kilimo cha zao la kahawa.....nje inatakiwa zaidi ya kiwango tunacholima na kusafirisha!Haya maonesho mama anayoenda kushiriki yana faida gani kwetu?
Bora fukara utapata pointi,siwezi kupoteza nguvu kumuelimisha mpumbavu ambae wazazi wake walimshindwa.👇Nimegundua kubishana na fukara ni kujipa tabu zisizokuwa na ulazima.
Tafuta mafukara wenzako mjadili huo ujinga wako.
SSH anajua kujishusha. Mtazamo wake upo very positive, ni rahisi kusikilizwa na akaeleweka.Umewahi ona wapi Samia anafanya ziara za hasara kama Mwendazake?
Aibu gani unayoisemea wewe? Pesa ni za mkopo na kama ni msaada ni jambo la Nchi husika kujiskia kutoa kwa sababu za urafiki nk..
China alipotoa msaada wa kujenga Tazara na Sasa kajenga Chuo cha Uongozi cha ccm umempa nini?
China huyo huyo kajenga Makao Makuu ya AU hapo Addis Ababa,walidai nini?
Mwisho,Rais kaenda Ufaransa si tuu karudi na connection za wafanyabiashara bali na pesa za mkopo na msaada juu.
Huko anakoenda ni sehemu ya jukwaa la biashara kwa hiyo inategemeana atakutana na makundi gani.
Wewe kwa akili yako umeona Serikali ya Samia ina struggle kutekeleza miradi iliyomtoa makamasi Mwendazake?
Jaribu tuoneTukisubiri tuone, tutakuwa tumechelewa sana. Ni wakati wa kuchukua hatua, azuiwe atake asitake.
Mkuu pengine huwezi jua.Haya maonesho mama anayoenda kushiriki yana faida gani kwetu?
Hawasafiri bure ujue,sio kama wewe huna cha kufanya hata ukisafiri,you are useless
Wanasema eti anaupiga mwingi!Balozi wetu alikuwa anatosha kabisa, kwa mfano kuna maonesho makubwa tu hufanyika kule Namibia na tukawakilishwa vizuri kabisa na balozi wetu comrade Kipilimba.
Mama hasa anaenda kufanya nini? Yaani kila kitu yeye yumo tu? Embu shughulisha hicho kichwa chako vizuri
Ndio maana namkubali anawapuuza wajinga anachanja mbuga na alishasema wazi atasafiri kokote kutafuta pesa,haendi kuuza sura huko Duniani alishasafiri Sana kabla hajawa hata mbunge.SSH anajua kujishusha. Mtazamo wake upo very positive, ni rahisi kusikilizwa na akaeleweka.
Mkuu kwa hiyo unamuonea choyo Mheshimiwa Rais??Kula bata ngoja ale ila kinachoniuma ni gharama zake binafasi na timu anayokwenda nayo pesa nyingi zinavuja kupitia hizi safari za kufanya utalii.
Mpaka kuja kutoka ikulu atakuwa katembea dunia nzima, najiuliza tu briefing anazipitia muda gani?
Bora fukara utapata pointi,siwezi kupoteza nguvu kumuelimisha mpumbavu ambae wazazi wake walimshindwa.👇
View attachment 2128902
Wewe unaona haupogi? Hapa ni baba yako kaupiga?Wanasema eti anaupiga mwingi!