Hakutaja tarehe, inwezekana ikawa hata Jumtano ya tarehe 24/09/2025!Ukiwa unajua kusikiliza utaona rais mwenyewe alivyosema alikuwa hana uhakika.
Rais anakwenda bila ratiba ya kueleweka.
Alianza kusema Jumatano.
Akasema Jumatano au Alhamisi.
Na hata Alhamisi ikipita bila ripoti kupelekwa kwa rais, au hilo kuonekana, sitashangaa.
Hata sielewi nasikia tu I Salute, Salute, Salute eeh🤣Mkuu kuna ujumbe gani mzito kwenye wimbo huo?
Ndiyo maana nakwambia rais ametaja hili jambo bila ratiba ya kueleweka.Hakutaja tarehe, inwezekana ikawa hata Jumtano ya tarehe 24/09/2025!
Vinaweza kumuomba afikirie uwezekano wa kuanzisha mchakato wa kutazama faida zinazoweza kuwepo katika zoezi la kurasimisha uratibu wa utaratibu kutangaza kupokelewa ripoti.Kuna chombo cha habari kilichouliza kwa nini jumatano imepita na haijatoka au wana "heshima ya kiafrika" kwa mama ?[emoji205]
ama report imepokelewa kimyakimyaBado hatujamalizia kuchakachua ili kumuokoa kigogo fulani ambae alitia saini yake hela zikapigwa.Kuweni na subira tumalizie kuchakachua ripoti.
Acha utani bwashee!Watuhumiwa wanajidedisha kwa vifo vya ghafla... Mama bora aache tu yapite
Ishatoka.Na hamu naisubiria sijui ni lini itasomwa live.
Haina jipya imeishia kuzungumzia madai ya wakandarasi, maza kasha tengenezwa vizuri hana meno tena.Rais Samia amesema CAG ameshakamilisha ripoti ya CAG kuhusu Benki kuu kwa kipindi cha kuanzia January hadi March 2021 na ataikabidhi kwake siku ya Jumatano au Alhamisi.
Umma utaelezwa yaliyomo ndani ya ripoti hiyo, amesisitiza Rais Samia.
Chanzo: ITV
Hawezi kubali maana iliyopo inampa utukufuTunataka katiba mpya. Watake wasitake..watachelewa kuvua, lakin kutoa mzigo watatoa tu
Mbaraka Mwinshehe aliimba "Naota, naota, naota nadanganywaa"naona report bado haijatoka Mama yuko busy anasimamisha Uchumi.
Ripoti tayari..na press release tayari.naona report bado haijatoka Mama yuko busy anasimamisha Uchumi.
Mama pale ikulu kaja wapemba Tu, ukigeuka huku Mpemba, Huku Mpemba Yani Ni Tafulani PSU Nzima kwa SasaWewe mkuu unaweza kuwa mtu hatari sana. Sana tu.
Yani inaonekana ushapoteza imani na mfumo mzima.
Kuna sehemu yoyote ambayo bado una imani nayo?
Acha kuwaita Wapemba.Mama pale ikulu kaja wapemba Tu, ukigeuka huku Mpemba, Huku Mpemba Yani Ni Tafulani PSU Nzima kwa Sasa
Wazanzibar kibao wamejaa PSU Wote, Juzi akiwa Msumbiji alifanya boko Hatari [emoji3][emoji3]Acha kuwaita Wapemba.
Wale Watanzania mkuu.
Tatizo labda wakiwa Wasomali.
Msumbiji mkutano wa kwanza ali delegate Rais Mwinyi wa Zanzibar aende.Wazanzibar kibao wamejaa PSU Wote, Juzi akiwa Msumbiji alifanya boko Hatari [emoji3][emoji3]
Kuna sikuza karibuni uliwahi kuwaza Magu angekufa? Mambo mengine yanafanyika kwa mkono wa Mungu. Watashangaa tu imefanyikaHawezi kubali maana iliyopo inampa utukufu