Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
bado, mama ananyoosha kwa nza nchi, mambo ya ripoti, sijui katiba mpya, sijui mikutano ya wapinzani inapaswa kusubiri kwanza.Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Rais Samia alisema anatarijia kupokea ripoti ya CAG kuhusu BoT tarehe 30 June au 1 July.
Mungu ni mwema labda itakuwa leo.
Nawasalimu kwa jina la JMT!