Rais Samia kupokea ripoti ya miezi mitatu (Januari-Machi) ya Benki Kuu kutoka kwa CAG

Rais Samia kupokea ripoti ya miezi mitatu (Januari-Machi) ya Benki Kuu kutoka kwa CAG

CAG asijesema tu kuwa

Yale magorofa mawili ya BOT yanasababisha foleni.

Au yanazuia upepo kuvuma kuelekea Ikulu.

Maana hashindwi huyu jamaa. Kutupiga za uso, halafu anashushia na maji.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tumechezewa sana ndugu zangu, tumelaliwa mno watanzania
Ahahahahah au nasema uongo ndugu zangu! Dah Magu nilikuwa nampenda sana gesture yake ile ya kutumia mkono..yaani mkono ukiwa unaendelea kujitingisha huku ashamaliza kuongea namaanisha gestures zinapishana na maneno ahahaha

Kuna siku nimekutana naye chobingo tukaongea nikamkumbusha suala la watumishi ebwanaeeeee....ahahahah duh duh
 
Hizi ni ripot za kuwashughulikia wote tishio kwa kiti cha urais.

Tuzitarajie sana ripot za namna hii. PM kama nae yupo mtegoni.
 
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Rais Samia alisema anatarijia kupokea ripoti ya CAG kuhusu BoT tarehe 30 June au 1 July.

Mungu ni mwema labda itakuwa leo.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Ile ya mwanzo ya mwezi April bungeni ilishafanyiwa kazi?

Maana CAG aliainisha madudu mengi mengi...
 
Hivi Ofisi ya CAG bado ni adui wa CCM kama ilivyokuwa wakati wa ASAD? Au siku hizi ananena yawependezayo wana?
 
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Rais Samia alisema anatarijia kupokea ripoti ya CAG kuhusu BoT tarehe 30 June au 1 July.

Mungu ni mwema labda itakuwa leo.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ratiba ya hilo Tukio ilikuwa ni jana je, imekuwaje ikabadilishwa ghafla tena kimya kimya tu? au imecheleweshwa ili watengeneze Mazingira ya Kuwalinda Wahusika wakuu wa Uozo kuanzia na aliyeko Ziarani nchini Ufaransa sasa?
 
Wamekuwa kama headless chickens
Huu msiba haujavuruga ratiba kweli?

Ila mkuu siku hizi umepoa sana nadhani bado upo kwenye maombolezo?
Kuna huyu Elitwege yeye haeleweki anacho ongea kwenye kila mada anayochangia.
 
Huu msiba haujavuruga ratiba kweli?

Ila mkuu siku hizi umepoa sana nadhani bado upo kwenye maombolezo?
Kuna huyu Elitwege yeye haeleweki anacho ongea kwenye kila mada anayochangia.
Hili@elitwege Ni hasara kwa wazazi
 
Hiz ripot hazina tija yoyote,kinachotkiwa kutengenezwa mfumo utakozuia huu wiz
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Rais Samia alisema anatarijia kupokea ripoti ya CAG kuhusu BoT tarehe 30 June au 1 July.

Mungu ni mwema labda itakuwa leo.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Back
Top Bottom