Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Rais hakosei wala hasemagi uongo wewe!dah ila aliahidi mwenyewe siku anaongea na wahariri tena ajauliza leo siku gani???walivyomjibu akasema jumatano napokea ripoti na tukio litakuwa live ila kimyaaaaaa na wadau wamekausha
hata mm nashangaa...pengine ni mwezi ujao siku kama ya leoWandugu si jana tukliahidiwa tutakuwa live makabidhiano ya uchunguzi wa mahesabu ya BOT kuanzia january to march?
sasa kama tatizo imegusa vigogo na wanaogopa kuisoma basi wasitushirikishe wafilisi tu hizo hazina maana hata wakifanya kuna washangiliaji watawaunga mkono, inachosha sanaUkiwa unajua kusikiliza utaona rais mwenyewe alivyosema alikuwa hana uhakika.
Rais anakwenda bila ratiba ya kueleweka.
Alianza kusema Jumatano.
Akasema Jumatano au Alhamisi.
Na hata Alhamisi ikipita bila ripoti kupelekwa kwa rais, au hilo kuonekana, sitashangaa.
Aina ya viongozi tuliona nao Kama taifa ni aibu kubwa Sana rais kutokuwa na taarifa sahihi hii inamshushia credibility Kama mkuu wa nchi.Ukiwa unajua kusikiliza utaona rais mwenyewe alivyosema alikuwa hana uhakika.
Rais anakwenda bila ratiba ya kueleweka.
Alianza kusema Jumatano.
Akasema Jumatano au Alhamisi.
Na hata Alhamisi ikipita bila ripoti kupelekwa kwa rais, au hilo kuonekana, sitashangaa.
Mkuu unataka wakupige tu, wasikujulishe wamekupigaje kwani kukujulisha kutakuongezea maumivu siyo?sasa kama tatizo imegusa vigogo na wanaogopa kuisoma basi wasitushirikishe wafilisi tu hizo hazina maana hata wakifanya kuna washangiliaji watawaunga mkono, inachosha sana
Makamo wa rais hapendiWandugu si jana tukliahidiwa tutakuwa live makabidhiano ya uchunguzi wa mahesabu ya BOT kuanzia january to march?
Mkuu kuna ujumbe gani mzito kwenye wimbo huo?Ripoti za mtaa zinasema wimbo wa Salute wa Alikiba unatrend ile mbaya, sasa hivi umefikisha views milioni moja au unataka ripoti gani tena? 🤣
Pia, hakuwa na haja ya kutangaza siku ya ripoti kuwakilishwa kama yeye mwenyewe hana uhakika na siku hiyo.Aina ya viongozi tuliona nao Kama taifa ni aibu kubwa Sana rais kutokuwa na taarifa sahihi hii inamshushia credibility Kama mkuu wa nchi.
wafanye wanavyotaka kwa kweli tu hata katiba mpya wasiweke maana itawabana sanaMkuu unataka wakupige tu, wasikujulishe wamekupigaje kwani kukujulisha kutakuongezea maumivu siyo?
Ninasubiri reportMbona kama kuna kitu hakiko sawa
Wewe mkuu unaweza kuwa mtu hatari sana. Sana tu.wafanye wanavyotaka kwa kweli tu hata katiba mpya wasiweke maana itawabana sana