Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Kwahy mama anataka watu gani?Idiotic comment. Watu kama wewe ndio hamtakiwi na mama kabisa kwani mwaeneza migawanyiko katika jamii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahy mama anataka watu gani?Idiotic comment. Watu kama wewe ndio hamtakiwi na mama kabisa kwani mwaeneza migawanyiko katika jamii.
Imeisha hio 😀😀😀 na kuhakikisha hilo anatembeza asali sio mchezo
Unajuwa wao hawa jamaa wanapenda kusikia chadema ikibisha kila Jambo hata kama zuri kumbe zuri tunapongeza baya tunapinga Kama la katiba mpya kakubali kwanini tusimpongeze mama anastahili heshimaHebu tuambie, asali ipi Chadema waliyolambishwa tuijue na wengine?
Zuri mnapongeza kweli ils njaa ikiwauma vizuri mnabadili kipindi.Unajuwa wao hawa jamaa wanapenda kusikia chadema ikibisha kila Jambo hata kama zuri kumbe zuri tunapongeza baya tunapinga Kama la katiba mpya kakubali kwanini tusimpongeze mama anastahili heshima
Tena karudia zaidi ya mara 3[emoji23][emoji23][emoji23]Chadema kama watakuwa wana Akili kesho naomba waanze kurahani na kutoa kauli kali,hivi mama inakuwaje anaalikwa kwenye chama cha wenzake alafu mwishowe anawambiaa ccm hoyeee,.
Aisee hii kauli kwakweli mm imenivurugia sherehe nzima ya leo.
Na chadema walivyo manyumbu Nimesikia wanaitikia Ccm oyeeeee!!!
Amka wewe ....Chadema ipo kwa ajili ya watanzania, nao wanalijua hilo, ndio maana CCM hutumia polisi kuwazuia kukamata dola.
Nyinyi ni vichaa, core ya nchi iingie mkataba na nani hapo CHADEMA? Kwamba endapo hawatatimiza matakwa yenu huko mbeleni mna nini cha kuwafanya?Kama
Tunapepewa deal ya 2025 tusisimamishe mgombea uraisi halaf mama atupe katiba mpya na tume huru why not? Tunaangalia faida
Njaa Iko wapi chadema wangegomea ruzuku muda wote najua wengi ccm na chawa wa zuber kabwe hawafurahii maridhiano kati ya CCM na chadema hamna asali hapo juzi na Jana la akina mdee mlisema asali Leo mama na mbowe wameweka tofauti na mlivyotarajia kama wewe unakumbukumbu Nyerere alipitia katiba za vyama mbadala akaitabiria chadema wakati huo japo NCCR kilikuwa chama kikuuZuri mnapongeza kweli ils njaa ikiwauma vizuri mnabadili kipindi.
Nyumbuzz!!Zuri mnapongeza kweli ils njaa ikiwauma vizuri mnabadili kipindi.
Ww ni mcho ganishi wahedChadema kama watakuwa wana Akili kesho naomba waanze kurahani na kutoa kauli kali,hivi mama inakuwaje anaalikwa kwenye chama cha wenzake alafu mwishowe anawambiaa CCM hoye.
Aisee hii kauli kwakweli mm imenivurugia sherehe nzima ya leo.
Na chadema walivyo manyumbu Nimesikia wanaitikia Ccm oyeeeee!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama unabisha fuatilia historia ya Chadema kuanzia walivyoipata Katiba yao hadi Ushiriki wao Kwenye Chaguzi mbalimbali
Chadema ni chama kilichoasisiwa na matajiri kwa ajili ya kutetea interest zao na Siyo kuongoza Serikali
Nimefurahi sana kumsikia Mpendwa wetu Rais Samia akisema haoni Sura za kushika Dola Chadema
Chama kilichokuwa na misingi ya kushika Dola wakati kinaasisiwa ni CUF pekee na labda sasa ACT wazalendo kwa baadae
Chadema ni chama cha Wafanyabiashara Mabwanyenye sema tu ndio bila kusoma falsafa yake akina Mmawia na Chakaza nao wakajikuta wako Bavicha
Hahahahamamayenu amewagonga kwelikwel wajinga wa uvccm na sukuma gang.
Manyumbu.Njaa Iko wapi chadema wangegomea ruzuku muda wote najua wengi ccm na chawa wa zuber kabwe hawafurahii maridhiano kati ya CCM na chadema hamna asali hapo juzi na Jana la akina mdee mlisema asali Leo mama na mbowe wameweka tofauti na mlivyotarajia kama wewe unakumbukumbu Nyerere alipitia katiba za vyama mbadala akaitabiria chadema wakati huo japo NCCR kilikuwa chama kikuu
Utani au chombezo lazima ,ukweli utaonaLeo Mama ameongea ukweli unaouma kwa ndugu zetu CHADEMA, Mama ni mwanasiasa hasa na ameiva, yupo vizuri haswaa BAWACHA/CHADEMA ujumbe umefika kama kisu kimepiga kwenye mfupa.
Mitano tena kwa Mama.
Hapana sio mchonganishi nataka kuwaonyesha kwamba wakati nyie mnashinda humu mnatukanana na Mzee JPM tena mtu ambae keshakufa zake wenzenu wanapiga hela alafu mnakuja kuimbishwa KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.Ww ni mcho ganishi wahed
Manyumbu.thubutu nyie mtabakia mkisema manyumbu unadhani nani mgeni ccm wakati tangu chipukizi tupo ccm Hadi tumekuwa viongozi ndani ya chama we need opposition in our country na utamu wa Debate iwe na wajumbe nutural oppose na proposal
Utajaza mwenyewe.Kwahy mama anataka watu gani?