Rais Samia: Kwa sura nazoziona hapa (CHADEMA) hamna dhamira ya kushika dola 2025, mnajua mama yupo

Rais Samia: Kwa sura nazoziona hapa (CHADEMA) hamna dhamira ya kushika dola 2025, mnajua mama yupo

Chadema kama watakuwa wana Akili kesho naomba waanze kurahani na kutoa kauli kali,hivi mama inakuwaje anaalikwa kwenye chama cha wenzake alafu mwishowe anawambiaa ccm hoyeee,.
Aisee hii kauli kwakweli mm imenivurugia sherehe nzima ya leo.
Na chadema walivyo manyumbu Nimesikia wanaitikia Ccm oyeeeee!!!
Tena karudia zaidi ya mara 3[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama
Tunapepewa deal ya 2025 tusisimamishe mgombea uraisi halaf mama atupe katiba mpya na tume huru why not? Tunaangalia faida
Nyinyi ni vichaa, core ya nchi iingie mkataba na nani hapo CHADEMA? Kwamba endapo hawatatimiza matakwa yenu huko mbeleni mna nini cha kuwafanya?

Acheni kauli za kujifariji, mchuchumalieni SHH yaishe.
 
Zuri mnapongeza kweli ils njaa ikiwauma vizuri mnabadili kipindi.
Njaa Iko wapi chadema wangegomea ruzuku muda wote najua wengi ccm na chawa wa zuber kabwe hawafurahii maridhiano kati ya CCM na chadema hamna asali hapo juzi na Jana la akina mdee mlisema asali Leo mama na mbowe wameweka tofauti na mlivyotarajia kama wewe unakumbukumbu Nyerere alipitia katiba za vyama mbadala akaitabiria chadema wakati huo japo NCCR kilikuwa chama kikuu
 
Chadema kama watakuwa wana Akili kesho naomba waanze kurahani na kutoa kauli kali,hivi mama inakuwaje anaalikwa kwenye chama cha wenzake alafu mwishowe anawambiaa CCM hoye.

Aisee hii kauli kwakweli mm imenivurugia sherehe nzima ya leo.

Na chadema walivyo manyumbu Nimesikia wanaitikia Ccm oyeeeee!!!
Ww ni mcho ganishi wahed
 
Kama unabisha fuatilia historia ya Chadema kuanzia walivyoipata Katiba yao hadi Ushiriki wao Kwenye Chaguzi mbalimbali

Chadema ni chama kilichoasisiwa na matajiri kwa ajili ya kutetea interest zao na Siyo kuongoza Serikali

Nimefurahi sana kumsikia Mpendwa wetu Rais Samia akisema haoni Sura za kushika Dola Chadema

Chama kilichokuwa na misingi ya kushika Dola wakati kinaasisiwa ni CUF pekee na labda sasa ACT wazalendo kwa baadae

Chadema ni chama cha Wafanyabiashara Mabwanyenye sema tu ndio bila kusoma falsafa yake akina Mmawia na Chakaza nao wakajikuta wako Bavicha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Njaa Iko wapi chadema wangegomea ruzuku muda wote najua wengi ccm na chawa wa zuber kabwe hawafurahii maridhiano kati ya CCM na chadema hamna asali hapo juzi na Jana la akina mdee mlisema asali Leo mama na mbowe wameweka tofauti na mlivyotarajia kama wewe unakumbukumbu Nyerere alipitia katiba za vyama mbadala akaitabiria chadema wakati huo japo NCCR kilikuwa chama kikuu
Manyumbu.
 
Leo Mama ameongea ukweli unaouma kwa ndugu zetu CHADEMA, Mama ni mwanasiasa hasa na ameiva, yupo vizuri haswaa BAWACHA/CHADEMA ujumbe umefika kama kisu kimepiga kwenye mfupa.

Mitano tena kwa Mama.
Utani au chombezo lazima ,ukweli utaona
 
Ww ni mcho ganishi wahed
Hapana sio mchonganishi nataka kuwaonyesha kwamba wakati nyie mnashinda humu mnatukanana na Mzee JPM tena mtu ambae keshakufa zake wenzenu wanapiga hela alafu mnakuja kuimbishwa KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Manyumbu.thubutu nyie mtabakia mkisema manyumbu unadhani nani mgeni ccm wakati tangu chipukizi tupo ccm Hadi tumekuwa viongozi ndani ya chama we need opposition in our country na utamu wa Debate iwe na wajumbe nutural oppose na proposal
 
Back
Top Bottom