mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Watanzania sisi tuna sifa ya ubishi, huwaga hatumkubali mtu hadi aondoke madarakani au Afariki Dunia.Mimi ni mwananchi mmoja wapo ninayetaka Dr. SSH [emoji1241] 2025 awe Rais mgombea pekee nchini, Hii Amani tuliyonayo tuendelee kuifurahia na miaka mingne mitano maana hatujui atakayekuja badae atakuwaje.
Jambo Hilo CDM wawe nalo makini sana.Haya ni mambo ya Mourinho kudanganya kuwa lineup yake wachezsji kadhaa ni majeruhi halafu siku ya mechi unakuta wote wapo kwenye kikosi.
Leo Mama ameongea ukweli unaouma kwa ndugu zetu CHADEMA, Mama ni mwanasiasa hasa na ameiva, yupo vizuri haswaa BAWACHA/CHADEMA ujumbe umefika kama kisu kimepiga kwenye mfupa.
Mitano tena kwa Mama.
Hili suala la kumuita Dr mtu mwenye PhD ya heshima si ilishatolewa ufafanuzi na TCU sasa mbona bado mnamuita Dr.? Au hii ya rais ni ya heshima special?Mimi ni mwananchi mmoja wapo ninayetaka Dr. SSH 🇹🇿 2025 awe Rais mgombea pekee nchini, Hii Amani tuliyonayo tuendelee kuifurahia na miaka mingne mitano maana hatujui atakayekuja badae atakuwaje.
Unataka haki duniani! Tena kwenye siasa - hakuna cha ubungeHalafu kwenye wabunge aache haki itendeke.
sukuma gang na uvccm mmenyooshwa mpaka mnatia huruma na bado 2025 lazima muwe vichaa.Bado mtatunga sana ila mmeshapoteza nyie ni CCM B
tutawagonga mpaka mkasimuliane sukuma gang kule chato.Unataka haki duniani! Tena kwenye siasa - hakuna cha ubunge
uvccm na sukuma gang jiandaen kufa kwa depression na kufikia 2025 mtakuwa mmekwisha kabisa.Eeh ni wale toplayer tu, mwenyekiti na machawa wake kadhaa ambao ni watu wa mdomo mdomo😀!
Zitto Kabwe unamsikia hata kidogo sahizi?
sukuma gang huwa ni wapumbavu maana walizoea kuuwa watu na siku katiba mpya ikipatikana watatueleza vizuri kuhusu mauwaji waliyofanya kwa sasa tumalizane na katiba kwanza.Hebu tuambie, asali ipi Chadema waliyolambishwa tuijue na wengine?
Mbowe mwenyewe akisoma hii coment yako atakudharau sanasukuma gang na uvccm mmenyooshwa mpaka mnatia huruma na bado 2025 lazima muwe vichaa.
Kwa hiyo machadema na ccm mtaungana kumpitisha samia kwa kishindo ili kuwakomoa sukuma gang?tutawagonga mpaka mkasimuliane sukuma gang kule chato.
Hii ya Rais ni yakipekee Sana, PhD yake Inagusa maisha ya Watu wote nchini na abroad.Hili suala la kumuita Dr mtu mwenye PhD ya heshima si ilishatolewa ufafanuzi na TCU sasa mbona bado mnamuita Dr.? Au hii ya rais ni ya heshima special?
Kumbe katiba na tume ni mali ya mama!?Kama tunapepewa deal ya 2025 tusisimamishe mgombea uraisi halaf mama atupe katiba mpya na tume huru why not?
Tunaangalia faida
Hata mimi nakuunga mkono anafaa kuendela ila mwambie awake tume huru uchaguzi usichafuliweMimi ni mwananchi mmoja wapo ninayetaka Dr. SSH [emoji1241] 2025 awe Rais mgombea pekee nchini, Hii Amani tuliyonayo tuendelee kuifurahia na miaka mingne mitano maana hatujui atakayekuja badae atakuwaje.