Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Eheee Tabia mbayaa hyooo.
Unapata wapi muda wa kumkosoa mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Usijaribu kumshika chui makende
 
Eheee Tabia mbayaa hyooo.
Unapata wapi muda wa kumkosoa mh rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?
usijaribu kumshika chui makende
Ikumbukwe pia Maza kamgusa marehemu kaburini kwa kuiponda 27k aliowaonea huruma walalahoi kupata Umeme
Mbona marehemu mzee Karume aliwajengea magorofa buree kule Michenzani!!!!!!
Maza Maza Maza kuwa makini
 
Mama ame panick, jobo amemshika pabaya, na huyu jamaa either ni mpango wa MUNGU kuwafumbua macho watanzania kujua tunapokwenda au ni maagizo kutoka kwa kambi ya mwendazake kupima kina cha maji kwa mguu, trust me hata wakimvua cheo haitasaidia, tayari meseji imeshafika.
 
Fact, you never know with women. Lile la Covid19 ni silaha iliyowekwa kiporo, akijaribu kufurukuta litamlipukia mikononi live bila chenga.
 
Ndungai mpango WA Mungu mpango WA Shetani
 
Upo sahihi lakini hii modal yako, kwa wakati huu isingefaa sana hapa alichokifanya ni kuwaziba hewa moja kwa moja na wameshapalaganyika huko walipo kila mmoja atakuwa anatafuta kutubu.
 
Tz bado sana, marekani spika wa bunge aliichana hotuba ya raisi waziwazi kisa tu hawafanani kimitazamo huku spika anaomba msamaha hadi huruma
Kwasababu mihimili mingine mizizi yake imejichimbia sana
 
Wasukuma tuna mzoom tu, R.I.P RAIS WA WANYONGE
Ndugai alipaswa kuonesha msimamo huu tangu mama alipoanza kumsaliti Magu.

Ndugai analipwa gharama za kumsaliti Magu.
Natamani na yeye yampate mazito kama malipo ya usaliti.
 
Ikumbukwe pia Maza kamgusa marehemu kaburini kwa kuiponda 27k aliowaonea huruma walalahoi kupata Umeme
Mbona marehemu mzee Karume aliwajengea magorofa buree kule Michenzani!!!!!!
Maza Maza Maza kuwa makini
Usipotoshe, alichosema wale waliokuwa na uwezo mdogo wataungiwa kwa 27K ila wanajiweza watawekewa kwa bei halisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…