Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HamjamboKwanza kabisa hamna uwanja mkubwa unaojengwa pembeni ya mji.
Katika hali ya kushangaza Leo hii mama Samia ameshindwa kujaza uwanja mdogo wa michezo ulio pembeni ya jiji la Mwanza maeneo ya Kisesa.
Wengi ya waliodhuria mkutano huo ni makada wa CCM kutoka wilaya na mikoa ya jirani walioletwa na mabasi .
Uwanja huo mdogo ambapo hata mwanasiasa mwenye ushawishi wa wastani Kama Tundu Lissu hasingeshindwa hata kuufikisha 75%.
Baada ya mkutano huo mkuu wa mkoa wa Mwanza na mwenyekiti wa CCM walionekana waakijadiliana pembezoni ambapo kila mmoja alidai shida inaweza kuwa labda taarifa haikutoka kwa wakati au maandalizi hayakuwa mazuri.
Watu wengi mitaa ya pembeni waliokuwa wakiendelea na maisha yao Kama kawaida huku wawili watatu nilioongea nao walidai hawawezi kufunga biashara zao na kwenda kumsikiliza mama huku bandari inauzwa.
Amna mtu mwenye anayehangsika na huyo mama ,rais gani asiyejiua kuwa yeye ni rais kazi kulalamika tu badala ya kutatua changamoto za nchi yetu yeye akiona changamoto solution ni private sectorKwanza kabisa hamna uwanja mkubwa unaojengwa pembeni ya mji.
Katika hali ya kushangaza Leo hii mama Samia ameshindwa kujaza uwanja mdogo wa michezo ulio pembeni ya jiji la Mwanza maeneo ya Kisesa.
Wengi ya waliodhuria mkutano huo ni makada wa CCM kutoka wilaya na mikoa ya jirani walioletwa na mabasi .
Uwanja huo mdogo ambapo hata mwanasiasa mwenye ushawishi wa wastani Kama Tundu Lissu hasingeshindwa hata kuufikisha 75%.
Baada ya mkutano huo mkuu wa mkoa wa Mwanza na mwenyekiti wa CCM walionekana waakijadiliana pembezoni ambapo kila mmoja alidai shida inaweza kuwa labda taarifa haikutoka kwa wakati au maandalizi hayakuwa mazuri.
Watu wengi mitaa ya pembeni waliokuwa wakiendelea na maisha yao Kama kawaida huku wawili watatu nilioongea nao walidai hawawezi kufunga biashara zao na kwenda kumsikiliza mama huku bandari inauzwa.
we kuna kitu kinakuwasha siyo bure. Katafute mkunaji sahihi huko mtaani kwenu. Hovyo kabisa, jinga kabisa, unawaza ujinga na upuuzi. Yule mtu wenu kashakufa mtahangaika sana hawezi kufufuka.Kwanza kabisa hamna uwanja mkubwa unaojengwa pembeni ya mji.
Katika hali ya kushangaza Leo hii mama Samia ameshindwa kujaza uwanja mdogo wa michezo ulio pembeni ya jiji la Mwanza maeneo ya Kisesa.
Wengi ya waliodhuria mkutano huo ni makada wa CCM kutoka wilaya na mikoa ya jirani walioletwa na mabasi .
Uwanja huo mdogo ambapo hata mwanasiasa mwenye ushawishi wa wastani Kama Tundu Lissu hasingeshindwa hata kuufikisha 75%.
Baada ya mkutano huo mkuu wa mkoa wa Mwanza na mwenyekiti wa CCM walionekana waakijadiliana pembezoni ambapo kila mmoja alidai shida inaweza kuwa labda taarifa haikutoka kwa wakati au maandalizi hayakuwa mazuri.
Watu wengi mitaa ya pembeni waliokuwa wakiendelea na maisha yao Kama kawaida huku wawili watatu nilioongea nao walidai hawawezi kufunga biashara zao na kwenda kumsikiliza mama huku bandari inauzwa.
Hahahahaaa uchokozi huuMwanza nako si kuna bandari?
Una akíli ndogo kama ya panzi. Huwa sibishanI na mazwazwawe unaendiga usio ujinga umekusaidia nini. kama bandali imeuzwa andamana tukutoe utumba mbwa wewe kazi kushinda kwenye mitandao kuleta taharuki
Unataka mkulima apeleke mazao akiwa amebeba kichwani mpaka Somalia?Ukinitajia wakulima 20 wanaouza mazao nje ya nchi mods wanitwange ban ya 12hrs!! Hao wanaouza nje ya nchi SIO WAKULIMA
Wewe unalima? Au unamilik tu Smart Phone?Mnahangaika kulima, kupalilia na kug'oa magugu. Jasho mpaka kwenye makalio alafu mtu akupangie pa kuuza? Ambae hana chakula nae akalime, ambae hana Samaki nae akavue samaki asiye na nyama nae akafuge.
View attachment 2656701
Nauza KangalaWewe unalima? Au unamilik tu Smart Phone?
Mwanasiasa kaa nae mbali hawana maana haoWaliosema mkulima auze mazao yake popote ni hawa au ndimi zilitereza.
We unaleta ligi ukiwa zako huko Kariakoo ambako hakuna shamba hata moja. Njoo huku ujionee wakulima waliovuna juzi leo hawana chakumemena wanakula makofi tu.Unataka mkulima apeleke mazao akiwa amebeba kichwani mpaka Somalia?