My Take
Serikali imekuwa na lugha nyingi sana za kujichanganya.

Juzi tuu hapo Rais alisema mahindi na Mpunga yamekuwa ni mazao ya biashara Kwa Ajili ya Nchi kupata Fedha za Kigeni tofauti na hapo awali,Sasa Leo anapinduka tena.

Kauli za kuchanganya changanya zinaua ari ya Kilimo,mkulima anavutiwa na Kilimo.kama bei ikiwa nzuri.
 
Ukinitajia wakulima 20 wanaouza mazao nje ya nchi mods wanitwange ban ya 12hrs!! Hao wanaouza nje ya nchi SIO WAKULIMA
Na huu ndio ukweli na hali halisi ambayo baadhi ya watu hawaifahamu. Wengi wanaouza hizo nafaka nje ni wafanyabiashara ambao wengi wao waliyanunua tangu yako shambani, nina mfano hai wa mkoa ninaoishi. Wanaanza kuvuna mwezi huu lakini kiuhalisia mazao si yao mpaka sasa. Wanaofaidika ni wafanyabiashara na watu wao wa kati (madalali), na si hawa wakulima wa chini na wa kati
 
Sawa. Bei tu ndo isiwe ya kijamaa huku gharama za pembejeo zikiwa juu.
 
Sawa. Bei tu ndo isiwe ya kijamaa huku gharama za pembejeo zikiwa juu.
Ni ujinga sana wa viongozi wa ccm Huwa hawajielewi wanataka nini na sijui Kwa nini hakuna coordination

Kwamba Rais anaongea anachojiskia harafu kina disrupt muelekeo wa sera ya Kilimo..
 
Haya ndo mambo vijana wa ovyo hawataki kusikia. Chakula kikipanda bei, wakulima wadogowadogo ambao ndo wengi Tanzania ndo wanateseka.
 
Mambo ya Machifu na upuuzi mwingine weka pembeni tujadili mambo ya msingi kuhusu usalama wa Taifa letu .
 
Ni ujinga sana wa viongozi wa ccm Huwa hawajielewi wanataka nini na sijui Kwa nini hakuna coordination

Kwamba Rais anaongea anachojiskia harafu kina disrupt muelekeo wa sera ya Kilimo..
Ili ufanikiwe kwenye huu mfumo wekeza kwenye taarifa, kujua next move ya kisiasa kabla haijatokea otherwise utapoteza pesa nyingi kwenye uwekezaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…