Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Watu ajira zilikua hazitolewi kabisa, wakitangaza Ni kuziba waliostaafu au kufariki, Graduates peke yao ukiwaambia maneno hayo kuwa Bora JPM wanakunyonga mchna kweupe, Watanzania wengi wanazani Tajiri akifilisika nao wanatajirika
 
yaani nilianza kumchukia siku alipokubali tozo za miamala ya simu. she is not creative enough. amaanini katika misaada ya wazungu na tozo za lazima kwa watanzania.
 
Ni sukuma gang wanamwaribia.
 
nyie ni sukuma gang
 
Mm binafsi sikuhiz zitutiwe kbsa na story na hotuba yake sitaki hata kusikiaa anavyoengea mnk ajui atamke nn aaseme nn lolote yeye atalisema

Rais anatokeza adharani anatangaza kuwa Bei ya mafuta itapanda na vitu vyote pia vipande
 
Wewe na staffs wenzako 15 ndio hamumkubali....watz wenye above 18 wapo zaidi ya 35m+ kwahiyo nyie 16 ni negligible.
 
Hivi kwanini watu wanapoongea ukweli kuhusu kutokubalika SSH wananuna wakati huo ndio ukweli.
 
Kweli hakubariki Cha maana wapinzani wakomaa wa ache mizozo isiyo na tija ndani ya vyama vyao
 

Mzee utafurumishiwa matusi na uzi wako huu balaa. Ngojea waje
 
Mapunguani sukuma gang mmeshafeli.
Mama ni kipenzi cha watanzania zaidi ya 70% except sukumas
 
staff ya wapi hiyo? Ni bora huyu mama mara mia japo anapuyanga kuliko Jiwe.

Uhuru tu wa kufanya mambo yangu bila hofu ya kutekwa inatosha, mama dhibiti vibaka tu na hawa panya road kura tutakupa
Syo staff, nadhani anamaanisha wasukuma.
Maana shangilio la mei dei lilikuwa la staff
 

If she stands on her own legs nothing goes wrong, but standing on other people's legs takes her to a wrong directions
 
Ingelikua yule jamaa anakubalika, asingelipata ushindi wa kishindo...100%.
Mwacheni mama bhana, mengine hutokea kwa sababu.
 
Kuwa makini na hizo ID zingine unazozijibu, yani zinang'ata kote kote kama konokono.

Zipo kama zaidi ya 100 na ushee, kuna namna humponda Rais kwa uongozi wake mbovu, pia wakati huo huo humsifia Rais kwa ID hizo hizo [emoji23]

Ziko buku mkuu, zinanavigate tu
 
Wew
Wewe peke yako ndo unasema hakubaliki. Wengine tunamwona yuko poa sana na atatufikisha mbali. Mimi binafisi biashara zangu ziliyumba wakati wa enzi za giza za jiwe. Sasa zinashamiri. Mama anaupiga mwingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…