Yaani Mwajuma Ndalandefu (Kibajaji) aache kusutana? Mama hamjui Da Mwaju.Mama kama mama, Ironlady na Rais Samia Suluhu Hassan [emoji95][emoji813]️[emoji7]
Waambie waache kusututana mama..... wafanye kazi za wananchi
Kama mm nawashwa wewe unafanya nn ? Mana kutwa Kucha unaongea ubuyu tu. Mambo mepesi mepesi! Bila shaka ulisoma mwl nyerere wewe pale mnapofundishwa kudesaUmeibuka toka wapi we fala? Unawashwa?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa
Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
Yaani Mwajuma Ndalandefu (Kibajaji) aache kusutana? Mama hamjui Da Mwaju.
So what?Kama mm nawashwa wewe unafanya nn ? Mana kutwa Kucha unaongea ubuyu tu. Mambo mepesi mepesi! Bila shaka ulisoma mwl nyerere wewe pale mnapofundishwa kudesa
Imba mapambio! Endelea kunengua kama bi khadija kopa pale chimwaga.So what?
Wanasifia au wanasema ukweli?Wabunge wa ccm hawana cha kujadili wawapo Bungeni zaidi tu ya vijembe kwa wapinzani na kuisifia serikali na Hayati Magufuli.
Sijui kama wamemwelewa
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa
Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
🤐Imba mapambio! Endelea kunengua kama bi khadija kopa pale chimwaga.
Saafi sana mama yetu....!!!
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa
Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
CC: Job Ndugai Spika.Sijui kama wamemwelewa
CC: kifimbo cheza
Kama wanamzingua wazinguane tu.....!!Mama yanayoendelea anayaona na kumshangaza kwani anaowangaa awaangalii umri wao kuendana na wanayoyafana
Unajua maana ya Iron Lady? Ebu msome Magreth Thatcher au Golder Meyer ndio utajua maana ya Iron Lady. Mama bado! Tusubiri baada ya siku 100 na kuendelea.Mama kama mama, Ironlady na Rais Samia Suluhu Hassan 💥♥️😍
Waambie waache kusututana mama..... wafanye kazi za wananchi
Siyo Ndugai tu hata huyu Kigagula Asiyetulia....!!!JIWE LA GIZAN LIMEENDA KWA NDUGAI
Unajua maana ya Iron Lady? Ebu msome Magreth Thatcher au Golder Meyer ndio utajua maana ya Iron Lady. Mama bado! Tusubiri baada ya siku 100 na kuendelea.
AalaaahCC: Job Ndugai Spika.
CC: Tulia Ackson Naibu.
CC: Kibajaji na Msukuma plus all Darasa la VII.
Darasa la 7 kuelewa ni kazi sana.....!!!Sijui kama wamemwelewa
CC: kifimbo cheza