Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi

Rais Samia: Mijadala Bungeni haina afya kwa Taifa. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi





Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"
 
IMG-20210418-WA0046.jpg
 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"

Sijui kama wamemwelewa

CC: kifimbo cheza
 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akifuatilia mijadala ya Bunge na kuongeza kuwa kuna mijadala isiyo ya afya kwa Taifa

Amesema: "Kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha Bajeti za Sekta mbalimbali za Serikali kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Naomba jikiteni sana huko, mengine tutayazungumza siku zinavyokwenda. Tufanye kazi kama Bunge linavyotakiwa kufanya kazi"

Saafi sana mama yetu....!!!
Sasa ni wakti wa SPIKA NDUGAI na Naibu wake Wabadilike vinginevo KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NAO INAWAHUSU!!!
Kuna Wabunge wapuuzi kama kina Vibajaj, Msukuma na Class 7 wengine wanafikiri bado tuko Utawala wa Hayati Magufuli!
Mbunge badala ya kujikita kwenye HOJA anaanza KUSHAMBULIA WABUNGE WASOMI NA WABUNGE WA UPINZANI!!
Nimemsikia Kibajaj ANAMSHAMBULIA MHE. MBOWE M/KITI CHADEMA(T) KUWA ATI M/KITI GANI ANA MBUNGE 1! Huu ni uhuni na kukosa hekma na kujenga hoja!
 
Mama yanayoendelea anayaona na kumshangaza kwani anaowangaa awaangalii umri wao kuendana na wanayoyafana
 
Mama kama mama, Ironlady na Rais Samia Suluhu Hassan 💥♥️😍
Waambie waache kusututana mama..... wafanye kazi za wananchi
Unajua maana ya Iron Lady? Ebu msome Magreth Thatcher au Golder Meyer ndio utajua maana ya Iron Lady. Mama bado! Tusubiri baada ya siku 100 na kuendelea.
 
Back
Top Bottom