Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Sasa huyo Samia mtamnyoaje mkiwa waoga hivi?Unaongea kana kwamba umekatwa kichwa, wewe kipindi cha meko ungeomba kibali upewe?hata sasa juzi tu wadada na wamama wameenda chakula cha jioni tu ndani ya ukumbi ona polic walivo jaa nje nyie rukaruka tu ila ujue ujinga ndo bas
Haiwezekani Kaka Ni muda tu watatuelewa saanaIla hapa mtu mzima anayefanya vurugu anataka aangaliwe kwa kivuli cha siasa
Twende na katiba mpya , inakuja hakuna wa kuzuia, asema bwana, chokochoko ya katiba ndo habari ya town,Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Mmmmh!Unaongea kana kwamba umekatwa kichwa, wewe kipindi cha meko ungeomba kibali upewe?hata sasa juzi tu wadada na wamama wameenda chakula cha jioni tu ndani ya ukumbi ona polic walivo jaa nje nyie rukaruka tu ila ujue ujinga ndo bas
Ila hapa mtu mzima anayefanya vurugu anataka aangaliwe kwa kivuli cha siasa
Yaan chadema hamna jipya kbs eti maandamano mpaka mpewe kibaki na huyo msie mpenda duhTwende na katiba mpya , inakuja hakuna wa kuzuia, asema bwana, chokochoko ya katiba ndo habari ya town,
Wewe mjinga, hao wote wanaongea ni Chadema? Usiwe mlopokaji kama kichaaYaan chadema hamna jipya kbs eti maandamano mpaka mpewe kibaki na huyo msie mpenda duh
Wenda Chadema ndo tunampenda, ccm mnamzuga tu , asiewajua naniYaan chadema hamna jipya kbs eti maandamano mpaka mpewe kibaki na huyo msie mpenda duh
Kwani mkaidi anafanywaje sikuzote 😅??? Anakatiwa keki na kupigiwa makofi?Anajuaje kama kutatokea fujo? Tumepigwa hapa
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Kwahiyo kabla ya Hayati Magufuli kuingia madarakani hapakuwa na umuhimu wa Katiba Mpya ?1. Viongozi wa taasisi nyeti wote, rais anateuwa. Matokeo yake hawatendi kwa haki au Sheria bali atakavo rais!!!!
2. Ukistaafu, ccm wamehodhi mpaka mafao uzeeni, mtu hupati haki yako mpaka ufe, eti, Akiba uzeeni utachukuwa ufikapo 60....65, kazi umekatizwa at 40yrs!!!!
3. Wabunge wanalipana mamilion, majimboni hawapo, na hawaendi
A) kupitisha makodi yasiyoeleweka bungeni
B) kututungia sheria kandamizi..... mfano zakimtandao nk
4. Katiba mbovu ilimruhusu pombe, kuzuwia mishahara na madaraja kazini ya watu wasipandishiwe kibabe miaka-5, bila kujali inflation wala katiba inasemaje
5. Watu walipotezwa, kila kona, ilikuwa sawa tu..... sababu katiba inamfanya rais wa Tz kama Mungu
6. Wakulima wanadhibitiwa na kunyimwa uhuru wa mazao yao kuyauza watakavyo. Mfano korosho huko mtwara na mahindi ruvuma
Mlolongo ni mrefu sana wa kiunyanyasaji, wachangiaje tuacha mahaba hebu tupingane kwa hoja.
Katiba mpya inaweza kupunguza baadhi ya hizi kero, bila kusahau kubambikiana kesi, watu kuwekwa vizuizini muda mrefu bila kufikishwa mahakamani, utesaji, nk
Siyo mwalimu bhana, ana itwa ABUBAKARI MBOWEKumekucha
Kwako mwalimu mbowe
Inakuwaje achanganye ya "Katiba Mpya", na huko "Kujiandaa kujitibia"?
Ina maana yeye Rais sasa, anakwenda kuwatia uoga wananchi wasidai katiba mpya (kufanya chokochoko) kwa vile hawajajiandaa watakavyotibu (majeraha)? watakayopata wakati wakidai haki hiyo?
Mbona haileti mantiki?