Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Unauliza majibu, usawa gani ,, mnavyo vuruga chaguzi na mbeleko ya majeshi,
Katiba mpya ni lazima
mnamponza huyo mama yenu, urais atauona mchungu. Tutamchakaza kama tulivyochakaza yule Mwendawazimu.
Huu ni utoto, ukikua utaacha
 
Uzuri dege la US Airforce lilikuwa JNIA juzi hivyo all options are tabled
 
Unauliza majibu, usawa gani ,, mnavyo vuruga chaguzi na mbeleko ya majeshi,
Katiba mpya ni lazima
mnamponza huyo mama yenu, urais atauona mchungu. Tutamchakaza kama tulivyochakaza yule Mwendawazimu.
Mlimchakazaje?
Kwa matusi ya mtandaoni huku mmejificha nyuma ya keyboard??

Wenzenu walisimama majukwani kuomba kura,nyie mlikuwa busy jukwaani mnatoa kejeli na matusi badala ya kujenga hoja wanazotaka kusizikia wananchi.
Magufuli alipiga magoti kuomba kura mkamkebehi sana,Matokeo yametoka mnalialia.

Nyie akina Lisu watawaponza,wenyewe wapo ubelgiji huko shauri zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ni Samia sawa, na mikutano ya kisiasa ipo kisheria, sasa mnatetemeshwa na nini? tatizo la ushindi wa kura za kwenye mabegi meusi ndio maana hamjiamini.
Sasa Mkuu Kama mikutano ya kisiasa ipo kisheria si uitishe huo mkutano wako unasubiri mpaka rais akuruhusu ?. Kama wakikukamata si unasema ipo kisheria utawashinda huko mahakamani.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Hebu acha kunitilia kinywani maneno utakayo wewe!!!! 😳😳😳
Hivi lini ulimsikia Kiongozi yoyote wa Chadema kamtusi samia? Alimtusi tusi lipi?

Huyo samia alipotumua neno KUDEMKA alikuwa anatumia lugha ya kistaarabu?

KUDAI KATIBA MPYA sio kuleta chokochoko samia aache kutokuwa mkweli. Ameanza kufuata nyayo za dhalimu mwendazake.

 
Inawezekana Rais akawa anajibishana na 'Mdude' wa CHADEMA?

Rais anachukulia kauli hizo kuwa ndiyo kauli za wapinzani?
 
Yale matusi ya Mdude huwa hauyaoni?
Ah chadema ni kiboko[emoji38][emoji38]

Mkiendelea kudemka itakula kwenu.
Muacheni mama achape kazi.
Ana ratiba zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu...; ndipo waruhusiwe "kuleta chokochoko"?

Rais kaanza ku'panic', na mtu mwenye mabunduki anapo'panic' matokeo yake siyo mazuri.
That was expected.

Ukiwa na power you become jealous of it.

And you will use every means to protect it.
 
Kudai haki yako ya msingi sio ukaidi. Huu “ukondoo” uliovikwa koti la “amani na utulivu” hautufikishi popote
All i need is my peace! Kapambaneni tu wazee maana najua what will happen sasa kwanini nijiingize matatizoni
 
That was expected.

Ukiwa na power you become jealous of it.

And you will use every means to protect it.
Lakini asisahau, yeye siyo Magufuli, na hawezi kamwe kuiga aliyoweza kuyafanya Magufuli kwa kutumia hiyo 'power'(vibaya).

Matokeo yake kwake yanaweza kuwa ni tofauti kabisa na aliyopata Magufuli.
 
Hahahah mie pia nataka hao wapuuzi waingie road ili nione show
 
Human rights are not things that are put on the table for people to enjoy. These are things you fight for and then you protect.
Mama Wangari Maathai.
 
Lakini asisahau, yeye siyo Magufuli, na hawezi kamwe kuiga aliyoweza kuyafanya Magufuli kwa kutumia hiyo 'power'(vibaya).

Matokeo yake kwake yanaweza kuwa ni tofauti kabisa na aliyopata Magufuli.
Ukishakuwa Rais , unakua mtu mwingine kabisa mkuu,

Mamlaka yake ni makubwa.

Kwa hapa nyumbani Rais ni;

1. Kiongozi wa Serikali.

2. Mkuu wa Nchi.

3. Mwenyekiti wa Chama.

4. Amiri Jeshi Mkuu.

Sasa unaweza ona ni mamlaka kiasi gani anakuwa nayo huyu mtu.

Hata akiwa Hana mikono au miguu,

Anabakia na hayo mamlaka hapo juu.

Ndio maana Nyerere akasema kuwa Rais ni mamlaka makubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…