Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nakuelewa mkuu sasahivi anaishi kama yupo peponiWewe ndio unaona cheo kimemnogea sababu wewe hauna hicho cheo! Siku ukiacha kulima matikiti hapo mpiji ukatengewa VX V8 na mshahara wa million 90 ndio walau utaelewa gharama za kuongoza nchi!
Safari imeanza rasmi ngoja tuoneVita imetangazwa Leo lasimi na Leo ndio vita kamili imeanza
Nchi nzima uitazame wewe na kuweka mikakati ya maendeleo halafu kigenge cha wapuuzi wachache wanataka kuvuruga utaratibu kwa chuki zao za kishamba na uroho wa madaraka!Nakuelewa mkuu sasahivi anaishi kama yupo peponi
Mnaandamana lini?Kwa hiyo ameona jibu la wanaotaka Katiba Mpya ni kuwadhuru,yale yale ya mwendazake. CCM ni ile ile,hoja hujibiwa kwa mtutu wa bunduki.
SawaNchi nzima uitazame wewe na kuweka mikakati ya maendeleo halafu kigenge cha wapuuzi wachache wanataka kuvuruga utaratibu kwa chuki zao za kishamba na uroho wa madaraka!
Kiongozi tulia, acha kumkashifu raisi wetu bana.Kwamba kudai katiba ni kuleta chochochoko huyu mama mjinga kweli
Mjinga ni wewe nyumbu wa ufipaKwamba kudai katiba ni kuleta chochochoko huyu mama mjinga kweli
Mbowe ataenda Dubai kutibiwa, wewe utaenda wapi? Ingia barabarani uone , si wabishi nyie?Vita imetangazwa Leo lasimi na Leo ndio vita kamili imeanza
Mbona wewe ulichanjwa Chale kijijin kwenu, unadhani zitakuokoa Taga weweWengine wameemda kuchanjwa dubai
Hizo zilikua fikra za magufuli naona mama anaziendelzaNiwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkengeβ...
Hahahahahah watalialia dunia nzima π π π π€£ππIngetakiwa itolewe amri halali ya kusambaratishwa kibanda cha ufipa ili chokochoko zisienee. Narudia tena kisambaratishwe hata kwa bomu
[emoji38]Mee too namuombea heri katika kutawala taifa hili ambao wenye akili wachache tumezungukwa na vichaa lukuki!
Mwanao akileta vurugu na kuhatarisha usalama wa ndani kwako hapo huwa unafanyaje? Au sababu ni mtoto ana haki ya kucheza akianza utundu na vurugu unatakiwa umtazame tuπHizo zilikua fikra za magufuli naona mama anaziendelza
Kuna ukiukaji wowote umefanyika since huyu mother kachukua nchi?Dawa ni kufuata sheria ili kuepuka hizo chokochoko, ila mkiwaumiza wanaoleta chokochoko wanaofuata sheria ili kudai haki zao mnawaonea, tumieni madaraka yenu vizuri kwa kuheshimu haki za wengine.