Hakuna shetani hapo mkuu. Kufungua kanisa ni rahisi sana kama kufungua duka tu. Hata wewe saiv unaweza ukachukua frame ukaanzisha kanisa, hii ni tofauti na kufungua kitu kama msikiti au temple.Hivi kuna shetani gani kaingia kati ya Makanisa na Ushoga??
Ajabu siku hizi imekuwa ngumu kitenganisha kati ya makanisa na Ushoga!!.
Yesu naomba ushuke haraka kutoka huko mbinguni kwani huoni jinsi kanisa linavyo chafuliwa na hao watumishi wako??-- Bwana Yesu, Papa, Askofu mkuu wa Anglicans na viongozi wengine wa makanisa wamekumbwa na janga la ushoga kwa mgongo wa kanisa, tafadhali shuka haraka kabla mambo hayajawa mambo, si unajua watu wa luti (Sodoma na Gomora) kilichowapata?!, je unataka adhabu pia hiyo iwapate watu wako??, je nani atalaumiwa zaidi kati yako na watu wako??, bila shaka wewe ndiye utastahili lawama kubwa kwa kukaa kwako juu mbinguni ukila starehe kwa baba huku ukiwaona kondoo wako "wakichakatana kishoga kupitia kanisa" na wewe usishuke kuja kuwaonya au ile ahadi ya kushuka kwako sio ya kweli??! Au kuwepo kwako mbinguni ni fumbo la kiroho ambalo tuliowengi hutulijui??!.
With due respect BABA MCHUNGAJI,Kuhalalisha NDOA za aina hiyo na kuwatambua ndo hatutokubali.
Hakuna HAKI ya kubadili UBINADAMU.
Mwanaume awe Mwanaume, mwanamke awe mwanamke basi.
Tufauti na hapo, mtakufa mfululizo hamtoamini.
Saudi Arabia au Iran wananyongwa na kukatwa kichwa na bado wapo sembuse TZ ndugu yangu?Ushoga hauwezi kuisha kwenye nchi ya waoga kama TZ...Usipoliwa tako basi utamla mwenzio tu
Serikali Imeruhusiwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi .Labda utakuwa haujazisoma vizuri sheria ya nchi.
Serikali ilishatunga sheria ya kuzuia UFIRAJI chini ya kifungu namba 154 cha sheria ya Kanuni za Adhabu sura ya 16.
Japo sheria hiyo ni mbaya na ya kibaguzi kutokana na kwamba haijazungumza kuhusu USAGAJI, lakini nimeona serikali imetumia busara kwa muda mrefu kutokamata mashoga na kuwatia hatiani.
Tangu sheria hiyo iwepo, hakuna shoga yoyote aliyeshitakiwa au kufungwa.
Halafu unataka serikali itunge tena sheria nyingine?? WHY?
Ni wazi serikali imeona hakuna MANTIKI YOYOTE ya kuzuia watu KUPAKUANA VINYESI.
With due respect BABA MCHUNGAJI,
Serikali haina haja ya kuhalalisha jambo ambalo limejihalalisha lenyewe kutokana na uhalisia wake.
Kwa mfano MASHOGA wakiamua kufirana huko vyumbani, unafikiri serikali itafanya nini!?
Serikali haiwezi kufanya kazi ya kupolisi MIKUNDU. Ni INCONSEQUENTIAL.
Your android phone kupitia google , can now track you and your activity in accuracy ya mita kadhaa, wakati andoid inaanza hakuna mtu alijiuliza juu ya mamlaka ambayo addroid ingejipa lakini naamini ni mpango ulipangwa nao kwa kutumia intelligence zao.Kwahiyo in a serious note inahitaji akili kudeal na hawa jamaa maana akili zao ziko mbele zaidi ya mtu mweusi, huwezi ukasema tunapinga ushoga wakati kuna mitandao hadi ya kuchukua wamasai wanaume kuwapeleka zanzibar na mombasa kwa kisingizio cha kazi za ulinzi ilihali nyuma ya pazia wanakwenda kufirwa, lazima tutumie akili
Shule za bweni nazo zimechangia tatizoNa asikidanganye mtu Rais Samia nguvu ya yeye kuzuia ushoga hana na hatokua nayo milele, unazuiaje ushoga wakati wewe umesoma shule ya msingi ya kutwa na sekondari ulienda ukiwa na akili timamu lakini mtoto wako umempeleka shule ya bweni ambapo pamoja na mafundisho yote hua wana secret agenda na mara nyingi patron ndio hupewa maelekezo yote hivo watoto hufundishwa huko namna ya kuingiliana, ndio unakurupuka kufungia bweni za watoto leo ilihali walishaharibika mamilioni ya watoto kwa ujinga wa kuigaiga vitu vya watu wengine
Hakuna shetani hapo mkuu. Kufungua kanisa ni rahisi sana kama kufungua duka tu. Hata wewe saiv unaweza ukachukua frame ukaanzisha kanisa, hii ni tofauti na kufungua kitu kama msikiti au temple.
Shoga linaweza likaamka tu huko likakodi frame ya 300k likafungua kanisa na kujizolea wanachama.
Tena awaambie hawana sababu kutoamini mifumo yeti ya kiusalama kwa hiyo wasijiingize jikoni kujua kila kitu chetu kiulinzi kwa kisingixio kumlinda huyo kamalla harris wao.View attachment 2551469
Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania
Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.
Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.
Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.
Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.
Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.
MIHEMKO haiwezi kutatua hili swala.Uko sahihi maana tunavyolijadili ndio tunazidi kuwasha moto mkali
KabisaUko sahihi maana tunavyolijadili ndio tunazidi kuwasha moto mkali
Your android phone kupitia google , can now track you and your activity in accuracy ya mita kadhaa, wakati andoid inaanza hakuna mtu alijiuliza juu ya mamlaka ambayo addroid ingejipa lakini naamini ni mpango ulipangwa nao kwa kutumia intelligence zao.
Mchina na jeuri yqke ili auze simu zake ,lazima atumie android
Sioni kosa la serikali kwa sababu tayari sheria ilishatungwA kuzuia UFIRAJI.Serikali Imeruhusiwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi .
Ikitoka ktk maelekezo ya Mungu, atakuja kupitisha panga lake,
MIHEMKO haiwezi kutatua hili swala.
Umeshawahi kuwasikiliza hao MASHOGA?