Rais Samia ni Mkakamavu na Shupavu Utafikiri Ametoka Kumaliza na kufuzu Mafunzo ya Ukomandoo

Kwani uliwahi kumsikia rais Samia akisema anawasomesha watoto wa watanzania bure kwa pesa yake?
 
Wewe mngese utajibu nini kipya zaidi ya matusi? Mtu kumsifu Rais kwanini ikuume kama sio dalili za mwanaume unayepumuliwa? Acha upuuzi.
Dada angu usipaniki hapa bado sijaanza nitakushulikia kwa hali ya juu sn sina utani na wajinga wakinichokoza
 
Ndo madhara ya kuzaa watoto kisa tamaa ya chips kavu na mirinda nyeusi ya bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi
Pumbavu kabisa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
MTOA POST! NIJIBU SWALI LANGU, HAYA YA MAMA MAMA MAMAAA TUWAACHIE WATOTO WAKO WAKIMSIFIA MKEO

"HIVI TANZANIA TUNA MAENDELEO YA UCHUMI AU UKUAJI WA UCHUMI?"

NA KAMA NI MAENDELEO YA UCHUMI NI KWA ASILIMIA NGAPI NA KAMA NI UKUAJI WA UCHUMI NI KWA ASILIMIA NGAPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…