Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Ni jambo jema

Ndio sababu tunasema Vyama vya Upinzani vya Tanzania ni lazima visupport Serikali vinginevyo vinawekwa pembeni!
No. Tatizo CCM bado hawajazielewa au kukubali siasa za vyama vingi. Ndiyo maana wengine tu naona kama ndivyo hivyo basi CCM watangaze wazi ili tujue Tanzania ni kama China, North Korea au Cuba.

Hii yawadanganya Watanzania kuwa tuna siasa za vyama vingi wakati hawataki..... Ni UHUNI.
 
Kizazi hiki hiki na tena watakao fanya mabadiliko watatoka humu humu ndani sio kina mbowe sijui lissu humu humu chamani.
Ok,, sasa lowasa mtoto wa mjini alishindwa,, leo ulete mrundi atafanikiwa kweli mkuu? 🤔
 
Maza anaongoza nchi kama bendi ya taarabu,anataka yeye awapashe ila yeye asipashwe.
Kwani serikali ya nchi ni mali yake?
Kweli Wazanzibara yametukuta safari hii,tuchutame tu,kha!🤣🤣🤣🤣
 
Hii ndiyo sababu hawaipendi katiba kwani inaweza kumzuia kumbar, ukiwa mkweli unaonekana ni mwamaharakati.
 
No. Tatizo CCM bado hawajazielewa au kukubali siasa za vyama vingi. Ndiyo maana wengine tu naona kama ndivyo hivyo basi CCM watangaze wazi ili tujue Tanzania ni kama China, North Korea au Cuba...
80% ya watanzania walikataa vyama vingi, endapo japo45 % wakikubali, maana yake hata bungeni ingekuwa 50 kwa 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…