Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar

Hakuna kitu kipya kwenye matamshi yake, hakuna kiongozi anayeteua watu wasiofuata falsafa zake...
 
Kasema ukweli.
TLS ilikuwa kama asasi ya kiraia ya kiharakati.
Ilikuwa kama wametangaza vita na mamlaka ya nchi kwa kila jambo litakofanywa na serikali.
 
Mhe. Rais kazungumza vitu viwili muhimu: 1. Ameendelea kudhihirisha yuko tayari kushauriwa au hata kupokea challenge za kujenga. Hivyo hakatai kukosolewa kwa nia ya kujenga (constructive criticism).

2. Ameweka very clear; maaddui hawana nafasi. Tuwe wakweli tu, unataka kuhujumu nchi au serikali bado ujumuishwe ktk uongozi?# Rais endelea mbele.🙏🙏🙏
 
Huelewi maendeleo ni nini wewe na Nani!?
 
Katiba mpya inakuja sawa, hiyo ha kupunguza madaraka ya Rais ili mpate kufanya choko choko kwa uhuru zaidi, sahau🤗
Sehemu muhimu ni hapo kwenye madaraka ya rais na ndio tunapopataka sie hakuna haja ya katiba mpya kama ulimbikizwaji wa madaraka hautazingatiwa kwenye hiyo mpya.
 
Sehemu muhimu ni hapo kwenye madaraka ya rais na ndio tunapopataka sie hakuna haja ya katiba mpya kama ulimbikizwaji wa madaraka hautazingatiwa kwenye hiyo mpya.
Sawa,, shida hamna watu,, labda katiba ipitishwe Washington sio Tanzania, ukweli mchungu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…