Rais Samia: Nimeagiza tozo ya mafuta irudishwe, asema nauli na bei za bidhaa vitapanda. Sababu ni vita ya Urusi


Mkuu hii nchi acha tu. Kinachozidi kunisikitisha ni hii hapa chini ivi ni kweli kipindi cha Magu umeme ulikuwa unakatika kwenye Bwawa la Nyerere na kusababishia serikali hasara hiyo. Wacha nicheke tu ila inauma sana.

Hii inadhiirisha wazi kuwa Magufuli alikuwa kiongozi Bora kuwahi kutoka Tanzania na hata Africa. Sasa wanaangalia jinsi ya kumdhoofisha na kuwapandikiza wananchi chuki dhidi ya Magufuli
 
Msichanganye magunzi na betri maana wapinzani wanakwamisha maendeleo. Leo nchi nzima wabunge, madiwani, viongozi wa vijijiwapo wenyewe ccm na hali ndiyo inazidi kuwa mbaya.
 
Tozo haikufutwa,ilisimamishwa kwa muda wa miezi 3
 
Ndugu Mbunge msisahau hata matumizi ya serikali yaliyokua yanafanywa na serikali nje ya bajeti ikiwemo ujenzi wa uwanja wa chato.

By the way tofauti na hizo impacts za kisiasa kwa rais na waziri wake, wewe kama mbunge huoni tu hii sh.100 jinsi inavyoenda kuleta impacts itakayoumiza zaidi wa Tz huoni sababu ya kuwasemea wananchi ??
 
Hili jitu halina akili linategemea kupewa maelekezo na madume!
 
Aiseee.....
 
Kama Mama atamsikiliza Mwigulu kumshauri kwenye uchumi ana kwenda kuwnguka. Ajue Mwigulu hana huruma na wananchi. Pia ajue Mwigulu ana furahia anguko la Mama maana nae ana hamu ya Urais. Sidhani na wala siamini kama tsh100 wamekosa mahali pa kuipata. Hadi tuambiwe 100 inayumbisha bajeti.
Pia Mama ajue Mwugulu ni snitch haelewani na Makamba. Huvyo uchonganishi ili mwenzake aonekane amefeli hatuta shangaa..
Issue ya mafuta ya kula, hakuna kushauriana, alitakiwa atoe tamko leo. Wasaidizi wake wengi wamejiingiza kwenye biashara. Wao ndio wana fanya huu uhaba wa mafuta uwepo. Mafuta toka nje yaruhusiwe, viwanda vya ndani wana hujumu Taifa, wana fungia mafuta ili yawe kidogo mtaani bei ipande.
 
30 March 2022
Ikulu Chamwino
Dodoma, Tanzania

Rais Samia azungumzia athari ya vita ya Russia na Ukraine kwa uchumi wa Tanzania


Rais Samia ataka viongozi wenzie pia wawaambie ukweli badala ya kukaa kimya kuhusu habari hizi za kisekta, badala ya wao viongozi kusubiri kuimba wimbo "rais kasema, rais kasema ..." amesisitiza Mh. Rais Samia Suluhu Hassan .
Source : millard ayo
 
Hahahahahah kibao hiki kiwafikie wapuuzi wote waliokuwa wanashabikia kifo cha Jiwe kipenzi cha wanyonge!

Ni mwaka sasa toka afariki ila nadhani kumbukumbu zake zitarejewa kwa kasi baada ya mkeka wa Ewura.
 
Sasa mwigulu na makamba Wala hata haihitaji kuchongeana, wote ni mizigo.
Ukimsikiliza makamba na mwigulu ni kama kulwa na ditto. Maneno mengi alafu hamna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…