Na lzm nchi ifunguke.Tunafungua nchi. 😁
Huyu ndo Rais sasa achana na yule mwendazake"alisikika jamaa mmoja baada tu ya b tozo kuapishwa"
Ni kesho au leo. In fact inchi haisomekiKila j3 au j4 ya mwazo wa mwezi EWURA hutangaza bei mpya za fuel
Hakuna surprise hapo,hangaya kaongea makusudi tu ili watu wapunguze tension siku hiyo