Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Mwigulu ulisomea uchumi kweli?
Mfumuko wa bei na deni la taifa kwa wakati mmoja hali inazidi kuwa mbaya sana.
Watu wanaodai madeni kama mikataba yao haikuwa na kipengele cha thamani ya pesa itakula kwao.
Wananchi wa kawaida walaji mtajua hamna viongozi sahihi ngazi za juu.
Mfumuko wa bei na deni la taifa kwa wakati mmoja hali inazidi kuwa mbaya sana.
Watu wanaodai madeni kama mikataba yao haikuwa na kipengele cha thamani ya pesa itakula kwao.
Wananchi wa kawaida walaji mtajua hamna viongozi sahihi ngazi za juu.