JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza hayo baada ya Simba kushinda magoli 7-0 dhidi ya Horoya katika mchezo wa Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kwenye Uwanja wa Mkapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aionee pale mezani ikulu.RAIS wetu Msikivu tunakuomba THAMANI YA MAGOLI YA SIMBA IWE 10M kwakuwa wapo Champions League na YALE ya yanga wape 5M maaana wako kombe la Loosers hivyo Workload ni tofauti katika ushindi wao. Hongera kwa kupitia maoni yetu.
Sisi mashabiki iyo aituhusu tunachotaka timu zetu zinfunge tufurahi basi👊Mimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Mimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Vote 20Mimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Kutoa pesa ya walalahoi kuwapa walalahoi si dhambiMimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Hizo pesa huenda hata hatoi yeye bali wadau wake kwa mlango wa nyumaMimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Hizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Hizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Hamna hizo hela zinafujwa arif. Hao wadau wangeweka wenyewe hizo hela sio lazima kupitia kwa rais.Hizo pesa huenda hata hatoi yeye bali wadau wake kwa mlango wa nyuma
nchi ya kipumbavu sana
majasho ya walala hoi yanateketea kwa mambo ya kipumbavu kabisa
ukizaliwa Afrika wewe umelaaniwa