Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Acha pesa ije mtaani mzunguko uongezeke...hata wakibaki nazo watazila wao tuHamna hizo hela zinafujwa arif. Hao wadau wangeweka wenyewe hizo hela sio lazima kupitia kwa rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha pesa ije mtaani mzunguko uongezeke...hata wakibaki nazo watazila wao tuHamna hizo hela zinafujwa arif. Hao wadau wangeweka wenyewe hizo hela sio lazima kupitia kwa rais.
Hii nchi kwa kulalamika tunahitaji medali ya dhahabu🤣🤣Mitandaoni Rais anaona utani tu yale mambo nyeti wala hana habari.
Acha cheap politics Mh. Rais anafanya jambo zuri kumotisha timu zetu wewe pia unaweza changisha fedha za madawati.Hizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Walala hoi si mmeamua kulala hoi 🤣 ingieni road muandamanenchi ya kipumbavu sana
majasho ya walala hoi yanateketea kwa mambo ya kipumbavu kabisa
ukizaliwa Afrika wewe umelaaniwa
Wizara ya MichezoMimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Mlizokuwa mnagawa nyie?Hizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Bila shaka wewe ndie yule DC mstahafu (mhafidhina)Hizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Huyu ana hasira ukute kakosa mafuta ya nyetoMbona hasira?. Kila pesa Ina kazi yake. Halafu hiyo pesa siyo ya serikali ni ya wadau watano wameungana.
Mwambieni Simba tunacheza ligi kubwa aweke 20m kila goli
Wewe nyamaza huna ulijualoHizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Hayakuhusu, hebu mwacheni rais wetu afanye anayoona ni mema kwa watanzaniaMimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Hahahahha mkuu una nongwa sana ujueMimi nataka kufahamu je hizi pesa huyu raisi anazitoa wapi? Je ni mshahara wake au anafuja kodi (majasho) ya walalahoi?
Pesa za dawa mil 30??dawa gani hizo?labda dawa za mapenziHizo pesa zingepelekwa kununua madawati na madawa.
Hao wachezaji kufunga ndio kazi yao na wanalipwa kwa kufanya hivyo.
Huo ni ufujaaji wa fedha za uma.
Kama ndio hivyo bas kusingekua na team ya kupigwa 7 kwenye hayo mashindanoRAIS wetu Msikivu tunakuomba THAMANI YA MAGOLI YA SIMBA IWE 10M kwakuwa wapo Champions League na YALE ya yanga wape 5M maaana wako kombe la Loosers hivyo Workload ni tofauti katika ushindi wao. Hongera kwa kupitia maoni yetu.
😂😂😂 Chadema banaMitandaoni Rais anaona utani tu yale mambo nyeti wala hana habari.
Naunga mkono hoja.RAIS wetu Msikivu tunakuomba THAMANI YA MAGOLI YA SIMBA IWE 10M kwakuwa wapo Champions League na YALE ya yanga wape 5M maaana wako kombe la Loosers hivyo Workload ni tofauti katika ushindi wao. Hongera kwa kupitia maoni yetu.
Au dawa za menoPesa za dawa mil 30??dawa gani hizo?labda dawa za mapenzi