Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Ndio maana avartar Yako umeweka kichwa kwakua Huna kichwa cha kukusaidia.Huwezi kuelewa mambo kwa akili yako hiyo fupi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana avartar Yako umeweka kichwa kwakua Huna kichwa cha kukusaidia.Huwezi kuelewa mambo kwa akili yako hiyo fupi.
Punguzeni njaa, iyo ni kama bonus usitake kumpangia boss akupe ngapi? Anaweza hata kuiondoa Hamna sheria inamlazimisha kuwapa mnachotamani. Siajabu hata mkipewa 10 mtataka 15 huku mkisingizia akina Raja, Mamelodi wanawaonea ni timu kubwa sana kwenu..RAIS wetu Msikivu tunakuomba THAMANI YA MAGOLI YA SIMBA IWE 10M kwakuwa wapo Champions League na YALE ya yanga wape 5M maaana wako kombe la Loosers hivyo Workload ni tofauti katika ushindi wao. Hongera kwa kupitia maoni yetu.
Huna Ubongo kichwani UTI imeshatafuna kichwa umebakiza maji tuPunguzeni njaa, iyo ni kama bonus usitake kumpangia boss akupe ngapi? Anaweza hata kuiondoa Hamna sheria inamlazimisha kuwapa mnachotamani. Siajabu hata mkipewa 10 mtataka 15 huku mkisingizia akina Raja, Mamelodi wanawaonea ni timu kubwa sana kwenu..
Timu imefungwa goli 7 na anayeshika nafasi ya pili kwenye ligi, je angekutana na anayeongoza ligi ingekuwaje??
Au hata Azam aliyechukua Point 4 kwako kwenye ligi, angekula nyingi tuu.. Punguzeni mbambamba.
Ulivyomjinga hujui kwny Mapato ya Mlangoni peke yake pesa itayokatwa kama kodi ya Mapato na VAT ni kubwa kuliko hicho kilichotolewaNchi ya kipumbavu sana.
Majasho ya walala hoi yanateketea kwa mambo ya kipumbavu kabisa.
Ukizaliwa Afrika wewe umelaaniwa
Makolo mnahara sanaRAIS wetu Msikivu tunakuomba THAMANI YA MAGOLI YA SIMBA IWE 10M kwakuwa wapo Champions League na YALE ya yanga wape 5M maaana wako kombe la Loosers hivyo Workload ni tofauti katika ushindi wao. Hongera kwa kupitia maoni yetu.