Sauti Moja Festival
Member
- May 8, 2023
- 19
- 41
Tuseme "miyeyusho" au sio?Asante mkuu
Nimeongeza neno jipya leoView attachment 2647130
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuseme "miyeyusho" au sio?Asante mkuu
Nimeongeza neno jipya leoView attachment 2647130
Hakunaga chakula cha bureKumbe mualiko haukuwa wa hivihivi!!!🤔🤔🤔
Huko aliko meno 32 yote nje (kama anayo yote).CC: Yusuf Bakhresa
First eleven haiendi kucheza kifupi game zote mbili tutapoteza purposely ila final Azam hataweza kusumbua tutashinda ila concern Yako ni valid kabisa kwamba hili lingeweza kufanyika trh 13/14Habari Wana Yanga Wenzangu, kiufupi na Mimi ni Yanga Die Hard
Sa hivi SAA Mbili Usiku wapo wanapiga Soga na Samia, wakitoka hapo wamechoka, wanaenda kuoga, wanaenda Airport hiyo lazima itakuwa at least SAA Sita usiku. Wanaruka na Ndege. Watafika wamechoka, kesho mechi na Mbeya City, Ijumaa na Prison, Jumatatu na Azam. Hili Fatique la kulazimishana tukutane Tanga Jumatatu.
Hiyo Jumatatu Azam watatupiga kama Ngoma. Nipo nimekaa Pale, tukishinda mniite Umbwa!!
Nina nguchiro kama wewe wanakula na kusaza kama vipi njoo udomee kahaba mchafu wewe.Hapo kwa dada yako unakula bure na kunya bure kodi ipi unayotoa?acha wivu
Na shifta apewe onyo asilete ubasha kwa wachezajiFei Toto keshaachwa kuwa huru
Mbona kwenye mambo ya dezo hammtaki awaachie team yenu?Mama atuachie Mpira wetu ,anataka tufungiwe na FIFA , Aache Mpira ujiongoze atatuponza.
Madawati 1900Asante Bishekhat kwa kutuita ikulu,sio kwamba tuna nyota ya mshale...............
Milioni 190 ungetununulia madawati tusikae chini huku sengerema.
Ndio CCM walivyo hao, kama kiongozi wao mkuu anaona hivyo wale anaowaongoza si ndio vipofu kabisa. Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa sana. Usanii mtupu.Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.
Inaonekana Hakuandika IMLA HuyuHa ha haaa! Mzee wivu umekushika mpka kuandika unashindwa? Vpi ulivuka japo darasa la 4 enzi za kusoma kwako?
Hizo ni game za kukamilisha ratiba, watacheza kina Nkane halafu wana njaa ya mpira.Habari Wana Yanga Wenzangu, kiufupi na Mimi ni Yanga Die Hard
Sa hivi SAA Mbili Usiku wapo wanapiga Soga na Samia, wakitoka hapo wamechoka, wanaenda kuoga, wanaenda Airport hiyo lazima itakuwa at least SAA Sita usiku. Wanaruka na Ndege. Watafika wamechoka, kesho mechi na Mbeya City, Ijumaa na Prison, Jumatatu na Azam. Hili Fatique la kulazimishana tukutane Tanga Jumatatu.
Hiyo Jumatatu Azam watatupiga kama Ngoma. Nipo nimekaa Pale, tukishinda mniite Umbwa!!
Hahaha kwa nchi zetu hatujafika huko, washauri yanga "wadinde" kama wanauthubutu. Sasa hivi huko walipo wenyewe tu wamelowa.Sheria za mpira haziingiliwi na serikali.
Akili zenu mnazijuwaga wenyewe, Feitoto anakwenda kubadirishana na Ardhi yenu lakini macho hamna.Feitoto ameshinda☺💪
Ulitaka arushe nani mrembo wangu?Kwa nini azam pekee ndio warushe live.........upuuuz huu