Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

First eleven haiendi kucheza kifupi game zote mbili tutapoteza purposely ila final Azam hataweza kusumbua tutashinda ila concern Yako ni valid kabisa kwamba hili lingeweza kufanyika trh 13/14
 
Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.
Ndio CCM walivyo hao, kama kiongozi wao mkuu anaona hivyo wale anaowaongoza si ndio vipofu kabisa. Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa sana. Usanii mtupu.
 
Hizo ni game za kukamilisha ratiba, watacheza kina Nkane halafu wana njaa ya mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…