Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Hawezi kuwa free agent. Ukweli ni kwamba Yanga wakiwa smart enough huyu dogo ataharibu amtibue hadi bi mkubwa. Kumbuka Yanga ipo kabla ya Samia na otaendelea kuwepo baada yake. Hata yeye analijua. Kosa dogo kuhusu Yanga anawatibua nusu ya raia wake. Usidhani yeye halijui hilo
Mahamuzi ya fei toto yameshatolewa leo na dogo tayari yupo huru tumuone uyo wa kupinga kauli ya Rais.
 
Mkuu unamjua vizuri nyani ngabu wewe? Au unaongea ushabiki tu?

Kwa taarifa yako wewe na nyani ngabu ni mbingu na ardhi.

Kiwango cha uelewa cha huyu mtu uliyemwita mbumbumbu ni kikubwa mnoooo kulinganisha na chako.Mimi nimejiunga jf 2014 kama sikosei,moja ya member ambao wana akili kubwa ni huyu.
Wewe umejiunga 2023 yeye yupo tangu 2006 hebu jipime.

Hata hivyo comment yake ipo ki fact sana sijajua kwanini wewe umetoa lugha hii.

Ni kweli na ipo wazi kuwa kuna mambo ya msingi sana ya kutakiwa kufanya katika taifa na sio kuendekeza kukusanyika kwenye vitu kama et timu kufika et final.

Sorry kama nimekukwaza pia.
Punguza ujinga kijana,nani alikwambia kua akili ya mtu inapimwa kwakumuangalia amejiunga JF lini? Huyo Nyani hala lolote zaidi yakuchomekea vingereza tu,nilimbana kwenye issue fulani mpaka akani "block" acha kujipendekeza,kama unamuabudu basi wewe endelea tu kumuabudu ila usilazomishe kila mtu amuabudu.
 
Mahamuzi ya fei toto yameshatolewa leo na dogo tayari yupo huru tumuone uyo wa kupinga kauli ya Rais.
Wewe usiichukie poa Yanga. Yaani Fei atoke Yanga kwa mfano aende bure Simba kwkuwa Rais ametamka. Ukweli ni kwamba anaweza kuondoka lakini atapigwa bonge la mkwara na Kutakuwa na masharti!
 
Kwenda CAS ni pesa ndg, kule hawaendi bure hivyo mambo yalikuwa hayajafika huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanasheria wa Fei juzi hapa baada ya mahojiano na Clouds, alisema washapeleka kesi CAS ya kuwashtaki TFF kwamba kwa nini hawataki kuvunja mkataba wa Fei na Yanga na thread humu JF ipo.
 
Kauli ya Rais ni kauli ya serikali yani apo tayari kesi imeshamalizwa tuone yule atakaepingana na Rais apo yanga kama Engineer ersi ajarudishwa kwao Somalia na yule bosi wenu wa pale salamander ajapelekwa kwao YEMEN
Sio suala la kufurahia, fifa walipopiga marufuku serikali kuingilia soka walikua kutakua na mambo kama haya ya leo
 
Punguza ujinga kijana,nani alikwambia kua akili ya mtu inapimwa kwakumuangalia amejiunga JF lini? Huyo Nyani hala lolote zaidi yakuchomekea vingereza tu,nilimbana kwenye issue fulani mpaka akani "block" acha kujipendekeza,kama unamuabudu basi wewe endelea tu kumuabudu ila usilazomishe kila mtu amuabudu.
Unasumbuliwa na maruerue wewe!

Niliku block wapi na lini wewe?
 
Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?

Pity the fools.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mnooo,
 
Namnukuu Mhe.rais Dr.Samia suluhu Hasan "Nilimuuuliza naibu waziri mh.Hamisi mwinijuma(FA) Karia ni timu gani akajibu ni Coastal nikasema hapa namjua ni simba"

watu:woyoooooooooo
Kheeeeh kulikua na mipashooo hukooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama Mh SSH amesema wamalizane na Amijei basi nawashauri Yanga wachukue tu hizo 112m wamuachie aende zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaa!!!!!!!
Hadi wee umenyweaaaa??? DJ waleteeeeeeee wakisindikizwa na wimbo wa marioo "Yanga tamu"
 
Rais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.

Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.

Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?

Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.

Cc: Pascal Mayalla
Poleeeeeee umenyweaaaaaa dadekiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pyeeeee pyeeee pyeeee fyuuuuuuuh
 
Back
Top Bottom