Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

Rais Samia: Sifurahii Mgogoro wa Yanga na Feitoto. Nataka umalizike

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alikuaaa ana wachoraaa tyuuh, kuwaitaa ikuluu makusudi awapige kwenyee mshonooo.
Wanafikiri yale mamilioni ya kila goli yalikuwa yanatoka bure??

Na ndege ilitoka bure??
 
Unatafuta basja?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninao wengiii sina haja ya kutafutaa, labda nikugawieeee wee.

[emoji23][emoji23][emoji23] ulivyo nyweaa km sio wee vilee.
Woiiiiih
 
Ukisha sign na Wino mwekundu na kuapa uku taifa zima linakusikiliza ndio imeisha iyo samia akitaka ata leo uyo born town akimbie nchi ni suala la sekunde tu na story yako inaishia apo Africa Rais anamlaka makubwa sana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kweliii
 
Ubwabwa wa ikulu una kanguvu fulani hivi kama maji ya upako. Mnashiba mkitoka hapo mnapata nguvu mnafanya kikao cha namna ya kuvunja mkataba uliokuwa hauvunjiki hata CAS.
 
Kwani kwenye mpira duniani Yanga ndio timu ya kwanza kualikwa Ikulu au nitajie timu iliyo alikwa ikulu na ikaigwa ban na FIFA.

Maana usiwe na akili kama kizibo cha kisoda, unachanganya Sheria za FIFA na awards binafs ya mtu.
Sasa ndo kashatoaa order, Fei suala lake limalizwe harakaa, na yeye apelekewe mrejeshoo.

Wee bwataa hapaa had uchokee, tafuta kitabu cha sheria zote za CAF na FIFA, ila Hersi anajua nn kaambiwa afanyee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] patamuuu hapoooo
 
Wanafikiri yale mamilioni ya kila goli yalikuwa yanatoka bure??

Na ndege ilitoka bure??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama kajua kuwachachuaa utopolooo, huko waliko hawana hamuu kabisaa.
Woiiiiiiih
 
Sasa ndo kashatoaa order, Fei suala lake limalizwe harakaa, na yeye apelekewe mrejeshoo.

Wee bwataa hapaa had uchokee, tafuta kitabu cha sheria zote za CAF na FIFA, ila Hersi anajua nn kaambiwa afanyee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] patamuuu hapoooo
Unatoa order kwa maamuzi yaliyopo chini ya sheria za FIFA, najua unataka kunipa njaa ila kama mtu ww mpira utakuwa unaelewa ila ndio wale wanaosema Abiola ndio CAF Confederation huwezi ni elewa.
 
Narudia tena kama unaona Rais amekosea kesho andaeni press mkimpa onyo Rais asiwaingilie kwenye mambo yenu[emoji23][emoji23][emoji23] kama pale salamander akujawa Makazi ya popo na panya..
 
Unatoa order kwa maamuzi yaliyopo chini ya sheria za FIFA, najua unataka kunipa njaa ila kama mtu ww mpira utakuwa unaelewa ila ndio wale wanaosema Abiola ndio CAF Confederation huwezi ni elewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee baki kubishaa na kubwata, uzuri hujaambiwa wee, aliye ambiwa ni Hersi na jopo LA watendaji wake pale Yangaa, na wao wanajua nn wanatakiwa kufanya kadri ya maelekezo waliyo pewa.

Kaa kwa password, mama kajua kuwachachuaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee baki kubishaa na kubwata, uzuri hujaambiwa wee, aliye ambiwa ni Hersi na jopo LA watendaji wake pale Yangaa, na wao wanajua nn wanatakiwa kufanya kadri ya maelekezo waliyo pewa.

Kaa kwa password, mama kajua kuwachachuaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo ww Hersi kakwambia amekubali? Mnapenda kujifariji wakina Mwakarobo.
 
Mngefuata ushauri tangu mapema mngeachana na FEI TOTO ...
Sasa aliyekosa hekima hapa ni nani?
 
Back
Top Bottom