joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwenye mshono upi?Mbna serikali imeingiliaaaa??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na aliwaitaa kusudii awapige kwenye mshonooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mshono upi?Mbna serikali imeingiliaaaa??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na aliwaitaa kusudii awapige kwenye mshonooo.
Mnooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mrembo umefurahi
Wanafikiri yale mamilioni ya kila goli yalikuwa yanatoka bure??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na alikuaaa ana wachoraaa tyuuh, kuwaitaa ikuluu makusudi awapige kwenyee mshonooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninao wengiii sina haja ya kutafutaa, labda nikugawieeee wee.Unatafuta basja?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kweliiiUkisha sign na Wino mwekundu na kuapa uku taifa zima linakusikiliza ndio imeisha iyo samia akitaka ata leo uyo born town akimbie nchi ni suala la sekunde tu na story yako inaishia apo Africa Rais anamlaka makubwa sana..
Kawachachuaaaaa, pilauu imegeukaa boko boko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samia leo amejua kutufuraisha sana. Yani walikuwa wanafakamia pilau awakujua mama kawaandalia nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ndo kashatoaa order, Fei suala lake limalizwe harakaa, na yeye apelekewe mrejeshoo.Kwani kwenye mpira duniani Yanga ndio timu ya kwanza kualikwa Ikulu au nitajie timu iliyo alikwa ikulu na ikaigwa ban na FIFA.
Maana usiwe na akili kama kizibo cha kisoda, unachanganya Sheria za FIFA na awards binafs ya mtu.
Huo huo unao kufanya utaje sheria za FIFA hapaKwenye mshono upi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama kajua kuwachachuaa utopolooo, huko waliko hawana hamuu kabisaa.Wanafikiri yale mamilioni ya kila goli yalikuwa yanatoka bure??
Na ndege ilitoka bure??
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaaUbwabwa wa ikulu una kanguvu fulani hivi kama maji ya upako. Mnashiba mkitoka hapo mnapata nguvu mnafanya kikao cha namna ya kuvunja mkataba uliokuwa hauvunjiki hata CAS.
Unatoa order kwa maamuzi yaliyopo chini ya sheria za FIFA, najua unataka kunipa njaa ila kama mtu ww mpira utakuwa unaelewa ila ndio wale wanaosema Abiola ndio CAF Confederation huwezi ni elewa.Sasa ndo kashatoaa order, Fei suala lake limalizwe harakaa, na yeye apelekewe mrejeshoo.
Wee bwataa hapaa had uchokee, tafuta kitabu cha sheria zote za CAF na FIFA, ila Hersi anajua nn kaambiwa afanyee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] patamuuu hapoooo
Kama mshono ni sheria za FIFA basi sawa.Huo huo unao kufanya utaje sheria za FIFA hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee baki kubishaa na kubwata, uzuri hujaambiwa wee, aliye ambiwa ni Hersi na jopo LA watendaji wake pale Yangaa, na wao wanajua nn wanatakiwa kufanya kadri ya maelekezo waliyo pewa.Unatoa order kwa maamuzi yaliyopo chini ya sheria za FIFA, najua unataka kunipa njaa ila kama mtu ww mpira utakuwa unaelewa ila ndio wale wanaosema Abiola ndio CAF Confederation huwezi ni elewa.
Relaaaaaaaaxxxxxxxxx!!!!Kama mshono ni sheria za FIFA basi sawa.
Kwa hiyo ww Hersi kakwambia amekubali? Mnapenda kujifariji wakina Mwakarobo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee baki kubishaa na kubwata, uzuri hujaambiwa wee, aliye ambiwa ni Hersi na jopo LA watendaji wake pale Yangaa, na wao wanajua nn wanatakiwa kufanya kadri ya maelekezo waliyo pewa.
Kaa kwa password, mama kajua kuwachachuaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inasikitisha sanaNchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.
Mbona unajishtukia kama unaoga nje sasa hasira zimekujaje.Relaaaaaaaaxxxxxxxxx!!!!
Huu mchezo hau hitaji hasiraa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]