Kwenda CAS ni pesa ndg, kule hawaendi bure hivyo mambo yalikuwa hayajafika huko.Sasa swala lipo CAS,Fei kaishtaki TFF na CAS ni chombo kikubwa cha maamuzi cha FIFA.
Isome hii article na kumbuka jambo hili lishatolewa maamuzi mara tatu na TFF.
Mwambie uyo Africa Rais ndio mfalme atakachosema kimepita iko hutaki zengwe utakalopigwa hutajuta maisha yako yote.Nani wa kuwashauri wenzake wakatae "ombi" la Mh rais wa nchi? Na ninani ambaye za kuambiwa hawezi kuchanganya na zake.? Thubutu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahamuzi ya fei toto yameshatolewa leo na dogo tayari yupo huru tumuone uyo wa kupinga kauli ya Rais.Hawezi kuwa free agent. Ukweli ni kwamba Yanga wakiwa smart enough huyu dogo ataharibu amtibue hadi bi mkubwa. Kumbuka Yanga ipo kabla ya Samia na otaendelea kuwepo baada yake. Hata yeye analijua. Kosa dogo kuhusu Yanga anawatibua nusu ya raia wake. Usidhani yeye halijui hilo
Punguza ujinga kijana,nani alikwambia kua akili ya mtu inapimwa kwakumuangalia amejiunga JF lini? Huyo Nyani hala lolote zaidi yakuchomekea vingereza tu,nilimbana kwenye issue fulani mpaka akani "block" acha kujipendekeza,kama unamuabudu basi wewe endelea tu kumuabudu ila usilazomishe kila mtu amuabudu.Mkuu unamjua vizuri nyani ngabu wewe? Au unaongea ushabiki tu?
Kwa taarifa yako wewe na nyani ngabu ni mbingu na ardhi.
Kiwango cha uelewa cha huyu mtu uliyemwita mbumbumbu ni kikubwa mnoooo kulinganisha na chako.Mimi nimejiunga jf 2014 kama sikosei,moja ya member ambao wana akili kubwa ni huyu.
Wewe umejiunga 2023 yeye yupo tangu 2006 hebu jipime.
Hata hivyo comment yake ipo ki fact sana sijajua kwanini wewe umetoa lugha hii.
Ni kweli na ipo wazi kuwa kuna mambo ya msingi sana ya kutakiwa kufanya katika taifa na sio kuendekeza kukusanyika kwenye vitu kama et timu kufika et final.
Sorry kama nimekukwaza pia.
Wewe usiichukie poa Yanga. Yaani Fei atoke Yanga kwa mfano aende bure Simba kwkuwa Rais ametamka. Ukweli ni kwamba anaweza kuondoka lakini atapigwa bonge la mkwara na Kutakuwa na masharti!Mahamuzi ya fei toto yameshatolewa leo na dogo tayari yupo huru tumuone uyo wa kupinga kauli ya Rais.
Mwanasheria wa Fei juzi hapa baada ya mahojiano na Clouds, alisema washapeleka kesi CAS ya kuwashtaki TFF kwamba kwa nini hawataki kuvunja mkataba wa Fei na Yanga na thread humu JF ipo.Kwenda CAS ni pesa ndg, kule hawaendi bure hivyo mambo yalikuwa hayajafika huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
SimfahamuUnamjua born town?
Hili swala limekwisha tayari.Habari za born town sijui mtu mmoja tu hizo ni hadithi.Tujipe week moja tu mbele,tutayaona matokeo ya 'ombi la Mama'.Hatma ya fei Toto ,iko kwa mtu mmoja tu,wala sio Rais,uyo akiweka ngumu ,dogo ataendelea kufurukuta
Sio suala la kufurahia, fifa walipopiga marufuku serikali kuingilia soka walikua kutakua na mambo kama haya ya leoKauli ya Rais ni kauli ya serikali yani apo tayari kesi imeshamalizwa tuone yule atakaepingana na Rais apo yanga kama Engineer ersi ajarudishwa kwao Somalia na yule bosi wenu wa pale salamander ajapelekwa kwao YEMEN
Nenda wewe kawaur mafisadi kama ni rahisi!MABICHWA KOMWE YA TANGANYIKA yako bize yanashabikia SIMBA na YANGA wakati nchi inaliwa na MAFISADI.
Unasumbuliwa na maruerue wewe!Punguza ujinga kijana,nani alikwambia kua akili ya mtu inapimwa kwakumuangalia amejiunga JF lini? Huyo Nyani hala lolote zaidi yakuchomekea vingereza tu,nilimbana kwenye issue fulani mpaka akani "block" acha kujipendekeza,kama unamuabudu basi wewe endelea tu kumuabudu ila usilazomishe kila mtu amuabudu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mnooo,Nchi isiyo na mafanikio yoyote yale yaliyo ya maana, kwenye nyanja yoyote ile, inaona timu kufikia fainali ya kakombe kaliko obscure duniani kuwa ni mafanikio?
Pity the fools.
Kheeeeh kulikua na mipashooo hukooo.Namnukuu Mhe.rais Dr.Samia suluhu Hasan "Nilimuuuliza naibu waziri mh.Hamisi mwinijuma(FA) Karia ni timu gani akajibu ni Coastal nikasema hapa namjua ni simba"
watu:woyoooooooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaa!!!!!!!Kama Mh SSH amesema wamalizane na Amijei basi nawashauri Yanga wachukue tu hizo 112m wamuachie aende zake.
Poleeeeeee umenyweaaaaaa dadekiiiiiiRais Samia ameitega Yanga ametowa ombi kwa uongozi wa Yanga kuhusu sakata la Fei Toto liishe.
Ikumbukwe Yanga imemuomba Rais maombi ambayo yana thamani zaidi ya Feitoto.
Na tukubali ukweli hivi kuna kiburi gani mwenye jeuri ya kukataa ombi la Rais? tena Rais muungwana kama Samia?
Pia tufahamu nje ya Mtanzania hawa ni Wazanzibar, mama ameomba ombi kistaarabu na kiungwana uongozi wa Yanga umuheshimu mama ikiwezekana kesho aachwe huru aende anapotaka bila kuchukuwa hata mia lakini Karma itamfuata hukohuko aendako.
Cc: Pascal Mayalla
Mbna serikali imeingiliaaaa??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sheria za mpira haziingiliwi na serikali.
Naunga mkono hoja...🤣Ulikuwa hujui?
Mrembo umefurahiPoleeeeeee umenyweaaaaaa dadekiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pyeeeee pyeeee pyeeee fyuuuuuuuh
Hata km wakimbakishaaa bado yanga imepataa aibuuu. WoiiiiihUnamjua born town?